Jukwaa la Historia

On JF:

Sijawahi kuuona mjadala wowote unaopinga historia ya Sheikh Mohammed Said. Sio Nkuruma Hall, sio katika kumbi nyengine za wasomi, ukiondoka hapa Jf ambapo watu wanajificha nyuso zao ndio...
21 Reactions
250 Replies
9K Views
FEB 22 Dondoo hizi zimechukuliwa kutoka kitabu cha Amani Thani Ferooz, Ukweli ni Huu, Mzanzibari na kiongozi wa Chama cha Wazalendo wa Zanzibar (Zanzibar Nationalist Party) katika miaka ya...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Mary Mallon alizaliwa mwaka 1869 huko nchini Ireland. Mama yake akiwa na mimba yake alipatwa na ugonjwa wa Typhoid. Hili likamfanya Mary awe na maambukizi ya wadudu wa Typhoid ambao waliishi...
2 Reactions
2 Replies
506 Views
BUSATI LA MTORO Nashindwa kufikiria nini kitakuja baada ya Busati la Mtoro. Msikiti umejaa. Watu wengi wamekuja wamejazana kusikiliza darsa. Busati linawazungumzaji mabingwa wa fani zao kuanzia...
3 Reactions
3 Replies
820 Views
Historia kamilifu ya Marehemu Brig Nyirenda. Mwalimu Julius Nyerere alisema, Meja Alex Nyirenda akatenda. Mpira ukarudi tena kwa Nyerere ambaye safari hii alifanya kweli kuhakikisha kwamba...
8 Reactions
25 Replies
4K Views
https://youtu.be/7hdr_NWa6mk?si=iZwFvEiOtXV3lK35
0 Reactions
0 Replies
311 Views
https://youtu.be/iCuOj7ppe5E?si=QeKMvxp0WqOpAzUi
1 Reactions
0 Replies
285 Views
Siku kama ya ya leo December 27 mwaka 2007 aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke nchini Pakistan Benazir Bhutto aliuwawa kwenye shambulio la kujitolea mhanga huko Rawalpindi, Pakistan...
1 Reactions
3 Replies
364 Views
Mhashamu Askofu Mkuu Marko A Mgulunde akimpongeza Mama Getrude Mongela mara baada ya kutoa mada yake iliyohusu uhusiano wa kanisa na serikali kwenye warsha ya Caritas; huku Katibu Mkuu wa Baraza...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
https://youtu.be/CeBBijxdjwg?si=3wUQnU1BEJOgcM_N
1 Reactions
2 Replies
442 Views
https://youtu.be/ZY0ozVzGzXo?si=7u9N3U8Ky8qlgefs
1 Reactions
4 Replies
606 Views
Kwa sisi wafuatiliaji wa siasa za upinzani Tanzania lakini na uhusiano kati chama dola na dola na chama dola na upinzani lakini mazingira ya siasa za Tanzania kwa ujumla wake tunafahamu kwamba...
2 Reactions
8 Replies
758 Views
Hao ndio walikuwa Wasomi Nchi hii kipindi tunapata Uhuru. Wazee wa Pwani naona Ngoma ziliwanogea hamna hata mmoja.
13 Reactions
67 Replies
4K Views
Marita Lorenz alizaliwa mwaka 1939 huko Bremen, Ujerumani. Alikulia katika familia yenye malezi ya kijeshi, baba yake akiwa nahodha wa meli. Maisha ya baharini yaliimarisha shauku yake ya...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Allah ni muungu wa waarabu Yehova ni muungu wa waisraeli wanaochangia na wazungu ili nao waonekane wazungu na si waarabu kama ilivyo asili yao. Buddha ni muungu wa wahindu, Je sisi Waafrika Mungu...
6 Reactions
11 Replies
503 Views
MAMBO YA TUPAC AMARU SHAKUR (1971-1996) Watu timamu wanaulizana...Ilikuwaje na ni kwa namna gani Tupac Amaru Shakur, kijana wa Marekani mwenye asili ya Kiafrika kufanya mengi na kupandikiza...
2 Reactions
7 Replies
831 Views
𝗠𝗳𝗮𝗵𝗮𝗺𝘂 𝗺𝘂𝘂𝗮𝗷𝗶 𝗮𝗹𝗶𝘆𝗲𝗽𝗲𝗻𝗱𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶 Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja anaitwa Luigi Mangione muuaji aliyetokea kupendwa na wamarekani wengi haswa watu wenye hali ya chini baada...
1 Reactions
0 Replies
349 Views
Daily News 12 October 1988 Ilibakia kidogo Daily News wakatae kuchapa kumbukumbu hiyo hapo juu ya miaka 20 ya kifo cha Abdul Sykes. Reginald Mhango ambae sasa ni marehemu, aliyekuwa mhariri wa...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
HISTORIA YA FUNDI CHEREHANI OMARI SULEIMAN RAFIKI KIPENZI WA JULIUS NYERERE WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Mwaka 1955 wakati wimbi la utaifa wa Tanganyika lilipokuwa limepanda sana...
0 Reactions
0 Replies
497 Views
Back
Top Bottom