Nimepata baadhi ya habari na ramani kuhusu hapo kale nchi yetu ilikuwa inaitwaje hii isue ya Tanganyika au zanzibar yamekuja tu.
Nimeweka baadhi ya ramani mwenye uelewa zaidi.
South Africa...
Wanaukumbi,
Kilichonifanya nimrudishe shujaa huyu wa uhuru wa Tanganyika ambae
wengi hawamjui ni kuwa nimekuta picha yake katika nyaraka zangu.
Hii picha nimekuwanayo kwa zaidi ya miaka 40...
Tunaomba mwenye hisroria ya raisi wa rwanda paul kagame atuwekee hapa na alihusikaje katika vita vya rwanda na nchi zinazo mzinguka
je ni nini haswa uhasama ulioko kati ya yake na wakongomani?
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-
Mara baada...
Leo ni tar 14 ya mwez wa kumi kwa unafiki wa wanasiasa wa ccm wakaamua kuifanya siku ya leo kuwa kumbukizi ya kifo cha baba wa taifa hili yaan nyerere day yapo mengi yamesemwa yapo mengi...
Kauli ambazo sintazisahau lowasa alisema akimnukuu mwalimu . Mwalimu alisema nchi hii ina amani watanzania wanajua na dunia inajua. PINDI AKIWA ANAJIUZULU akasema kamati teule ya mwakyembe...
wakuu naomba msaada. nimepita katika kijiwe kimoja nikasikia vijana wanabishana kuhusu mambo ya siasa. kimoja kati ya walichokuwa wanabishana ni kwamba hayati mwalimu nyerere alikuwa havai nguo za...
"Lying is a deliberate attempt not only to conceal, but to conceal well. There is such a thing as a bad, stupid lie, but its outside the scope of this article.
Good lies are crafted, they have...
jamani ivi tembo wamebaki wangapi? Hahaha duh vya ardhn vinakaribia kuisha vyote mfano tanzanite, wanyama duh. Mwisho hadi meno ya mbwa yataunzwa. Wakifanya maskini ni kosa. Kama vp vgawanywe...
Wana JF,
Tusome kwa Makini !
Gen David Sejusa, who is now perhaps the harshest critic of President Museveni in London, told the BBC in an interview yesterday that he would resist the Museveni...
Waganda wako nyuma sana katika kukipenda au kujifunza lugha ya Kiswahili.
Ukimsikiliza Mwanamuziki Jose Camelleon anapoimba nyimbo za Kiswahili utadhani ndio lugha ya kwao Uganda, la hasha...
MY STORY: How Nyerere embarrassed President Lule in Tanzania
News
MONDAY, 10 AUGUST 2009 11:26
WRITTEN BY SSEMUJJU IBRAHIM NGANDA12 COMMENTS
Kenyans nearly handed me to Amin, Obote was to...
watanzania tupunguze kufuata mikumbo!na kamwe katika maisha yako usiombee hata siki moja vita itokee katika nchi yako.unaye umia ni wewe na familia yako.tuamke tushabikie vitu vya maana
Napenda kutoa pongezi za kutosha kwa Mwl. Nyerere kwa kazi kubwa aliofanya ya kufumba taifa zima kufuata kama anavyotaka na anavyohitaji liwe kwa hilo pongezi nyingi sana kwako teacher.
Teacher...
Sanamu ya Bikira Maria na Rozali vilivyokuwa vikitumiwa na Mwalimu Nyerere wakati wa sala. picha na Maktaba
KWA UFUPI
"Tangu atimize miaka 51 babu amekuwa akifanya ibada za asubuhi na jioni...
Nyumba ya Mwalimu Nyerere iliyopo eneo la Magomeni ambayo kwa sasa ni makumbusho ya Taifa
KWA UFUPI
Enzi hizo Magomeni ndiyo ilikuwa kama Masaki. Mwalimu Nyerere alimwomba rafiki yake Mustafa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.