Wakuu nimemsikia ndugu Dovutwa kapata ajali baada ya Dereva wake kujiaribu kumkwepa mwanabodaboda mmoja aliyekuwa anajilowassisha. Tuwaombee wagombea Urais.
OCT
22
KUMBUKUMBU ZA IDDI TOSIRI MWANACHAMA WA TANU KADI NO. 24
Mwaka wa 1954 wakati TANU inaasisiwa Iddi Tosiri na ndugu yake Iddi Faiz Mafongo walikuwa na umri wa miaka 40 na zaidi kidogo na...
Ukittafakari mfululizo wa kalenda na matukio, basi inawezekana kuna jambo ambalo hatulijui.
Mwalimu Nyerere aliachia uenyekiti wa CCM, Friday, August 17, 1990 huku Mkutano mkuu wa CCM ukiwa...
Wanamajlis,
Katika kumkumbuka Baba wa Taifa nilitembelewa nyumbani na East
African Radio, Radio One Stereo, Raia Tanzania na Sibuka TV kwa
mahojiano.
Kikubwa walitaka kujua historia ya Baba wa...
Wise Quotes from Mwalimu
Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana...
USTIN MORRIS A-40
-Gari aina ya- Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa kwanza Tanzania hayati...
katika kusoma kwangu kwote nlifundishwa kuwa ZINJATHROPUS liligunduliwa mwaka 1959,..
Leo mtangazaji wa channel ten UPENDO MSUYA kasema fuvu
hili liligunduliwa mwaka 1957.....
Watu waliosoma...
Wana bodi naomba ufafanuzi nimesahau kidogo, nini tofauti kati ya Mbwana director
yule aliyekuwa mchezaji wa mpira timu ya jeshi na Mbwana aliyekuwa ni mkurugenzi wa uhamiaji, halafu mojawapo...
Maneno Haya Yalitamkwa Na Yesu Katika Kitabu Cha Luka 9, Kupitia Maneno Hayo Ninazungumza Na Dr Laa Je? Kuna Ufahali Gani Ukaupata Ulimwengu Huu Alafu Ukaiangamiza Nafsi Yako, Slaa Umeiangamiza...
Sheikh Yahya Hussein
MWEZI kama huu miaka minne iliyopita, Rais Jakaya Kikwete ilibidi akatishe ziara nchini Botswana na kurudi nyumbani kuongoza maelfu ya waombolezaji jijini Dar es Salaam...
Namwita hapa jamvini ndugu Mohamed Said, nimesoma maandiko kadhaa nikajiridhisha kuwa kitaaluma ni mwanahistoria ila kiuhalisia ni mtetezi wa kundi flani analotaka liwepo kwenye historia, kwa...
UKAWA msikatishwe tamaa na hao wapinga umoja,kisa uchu wa madaraka. Wanaojitoa ndani ya UKAWA, wao siyo wa kwanza kwani hata hayati baba wa Taifa, alishuhudia wanaTANU na wanaASP wasiopenda...
Watabiri mashuhuri huko Greece miaka mingi kabla kuzaliwa kwa kristo walitabari mfalme atazaa mtoto wa kiume... Mtoto huyo atakuja kumuua mfalme ambaye ni baba yake na kumuoa mke wa mfalme ambaye...
nakumbuka nilivyokuwa mdogo nilisoma hadithi ya Yona kwenye biblia...
ya kwamba alitumwa na Mungu akawafundishe watu wa nchi nyingine NINAWI neno lake kisha wakiri na wamrudie mola wao,,,,,
ya...
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua...
Wanamajlis,
Leo Jumanne saa moja na robo asubuhi In Sha Allah nitakuwa na kipindi
Maalum kama inavyoonekana hapo juu katika Morning Trumpet.
Julius Nyerere, Bi. Titi Mohamed na John Rupia...