Jukwaa la Historia

On JF:

Wakuu nimemsikia ndugu Dovutwa kapata ajali baada ya Dereva wake kujiaribu kumkwepa mwanabodaboda mmoja aliyekuwa anajilowassisha. Tuwaombee wagombea Urais.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani wewe una maoni gani juu ya Rais atakaye teuliwa na wananchi bila ya kuangalia itikadi ya chama?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
OCT 22 KUMBUKUMBU ZA IDDI TOSIRI MWANACHAMA WA TANU KADI NO. 24 Mwaka wa 1954 wakati TANU inaasisiwa Iddi Tosiri na ndugu yake Iddi Faiz Mafongo walikuwa na umri wa miaka 40 na zaidi kidogo na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukittafakari mfululizo wa kalenda na matukio, basi inawezekana kuna jambo ambalo hatulijui. Mwalimu Nyerere aliachia uenyekiti wa CCM, Friday, August 17, 1990 huku Mkutano mkuu wa CCM ukiwa...
2 Reactions
11 Replies
8K Views
Wanamajlis, Katika kumkumbuka Baba wa Taifa nilitembelewa nyumbani na East African Radio, Radio One Stereo, Raia Tanzania na Sibuka TV kwa mahojiano. Kikubwa walitaka kujua historia ya Baba wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wise Quotes from Mwalimu Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana...
6 Reactions
47 Replies
40K Views
USTIN MORRIS A-40 -Gari aina ya- Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 – 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa kwanza Tanzania hayati...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
katika kusoma kwangu kwote nlifundishwa kuwa ZINJATHROPUS liligunduliwa mwaka 1959,.. Leo mtangazaji wa channel ten UPENDO MSUYA kasema fuvu hili liligunduliwa mwaka 1957..... Watu waliosoma...
0 Reactions
5 Replies
23K Views
Wana bodi naomba ufafanuzi nimesahau kidogo, nini tofauti kati ya Mbwana director yule aliyekuwa mchezaji wa mpira timu ya jeshi na Mbwana aliyekuwa ni mkurugenzi wa uhamiaji, halafu mojawapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Maneno Haya Yalitamkwa Na Yesu Katika Kitabu Cha Luka 9, Kupitia Maneno Hayo Ninazungumza Na Dr Laa Je? Kuna Ufahali Gani Ukaupata Ulimwengu Huu Alafu Ukaiangamiza Nafsi Yako, Slaa Umeiangamiza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Sheikh Yahya Hussein MWEZI kama huu miaka minne iliyopita, Rais Jakaya Kikwete ilibidi akatishe ziara nchini Botswana na kurudi nyumbani kuongoza maelfu ya waombolezaji jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Namwita hapa jamvini ndugu Mohamed Said, nimesoma maandiko kadhaa nikajiridhisha kuwa kitaaluma ni mwanahistoria ila kiuhalisia ni mtetezi wa kundi flani analotaka liwepo kwenye historia, kwa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
UKAWA msikatishwe tamaa na hao wapinga umoja,kisa uchu wa madaraka. Wanaojitoa ndani ya UKAWA, wao siyo wa kwanza kwani hata hayati baba wa Taifa, alishuhudia wanaTANU na wanaASP wasiopenda...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Watabiri mashuhuri huko Greece miaka mingi kabla kuzaliwa kwa kristo walitabari mfalme atazaa mtoto wa kiume... Mtoto huyo atakuja kumuua mfalme ambaye ni baba yake na kumuoa mke wa mfalme ambaye...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Huyu mtu alikuwa vizuri sana Upstairs tuache Masikhara
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Documentary inaitwa: "tribe of Africa National Geographic-Andaman tribe" Inasisimua sana...!
1 Reactions
0 Replies
2K Views
nakumbuka nilivyokuwa mdogo nilisoma hadithi ya Yona kwenye biblia... ya kwamba alitumwa na Mungu akawafundishe watu wa nchi nyingine NINAWI neno lake kisha wakiri na wamrudie mola wao,,,,, ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanamajlis, Leo Jumanne saa moja na robo asubuhi In Sha Allah nitakuwa na kipindi Maalum kama inavyoonekana hapo juu katika Morning Trumpet. Julius Nyerere, Bi. Titi Mohamed na John Rupia...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Jimmy Carter alikufa June 22,1979. Sikiliza audio letter 45 part 2 ya Dr. David Peter Beter..
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…