Aliyewahi kuwa rais wa Liberia Charles D.B King aliyezaliwa tarehe 12 March 1875 – na kufariki 4 September 1961) ndiye mpaka sasa anayeshikilia rekodi ya dunia katika vitabu vya kuweka kumbukumbu...
Gavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Rais wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Rais wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine kote Rais wa JMTZ...
Wadau hapo zamani za kale kulikuwa na shirika la ndege East African Airlines. Ilikuwa sehemu ya East African Community. Waliokuwa wanakmiliki ni Tanzania, Kenya na Uganda.
Mwaka 1971, familia...
Rolihlahla Mandela was born into the Madiba clan in Mvezo, Transkei, on July 18, 1918, to Nonqaphi Nosekeni and Nkosi Mphakanyiswa Gadla Mandela, principal counsellor to the Acting King of the...
Mama Sofia Kawawa alikuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), wakati huo ikiwa jumuia inayowaunganisha wanawake chini ya chama kilichoshika hatamu. Mama Sofia alikuwa mwenyekiti wa...
WAZEE WALIOANZISHA VUGUVUGU LA KUSAKA UHURU. SIO NYERERE PEKE Yakub Hamdan Msafiri Kitumbo Excell Type Jamal Sultan Sultan Toobi sa Abdul Nassoro Saku Mohamed Salim Omar Duni Salum Nassor Hemed...
LEO NI KUMBUKIZI YA MIAKA 18 YA KIFO CHA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMABARAGE NYERERE NI VYEMA TUKAANGAZIA MAFANIKIO NA KASORO KATIKA UTAWALA WAKE.
Comred Mbwana Allyamtu.
Saturday –...
Natamani kila mtu ajue yafuatayo
01. Kuna barabara kila kona. hata ukienda nyumbani kwa mtu huitaji kupack mbali.
02. Kuna maji tena safi na salama bila kuchemsha.
03. kuna umeme kila mtaa na kila...
Patrice Lumumba's Letter to Pauline Lumumba, 1960
My beloved companion,
I write you these words not knowing whether you will receive them, when you will receive them, and whether I will still...
Habar wana jamvi, napenda kufaham chanzo hasa cha Marekani, South Korea kuwa maadui wakubwa wa North Korea mpka hali iliyofikia sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
HISTORIA FUPI YA CHE GUEVARA
Jina kamili : Ernesto Guevara
Kazi : Daktari, mwanamapinduzi wa kijamaa (marxist)
Uraia : Argentina
Kuzaliwa : June 14 1928
Kufariki : October 9, 1967...
Habari wanajamii forum,nimeona isiwe mba tukashare baadhi ya picha za manusura RMS Titanic
Picha na 1.ROBERT HICHENS
Huyu alikuwa mmoja ya wafanyakazi wa meli ya titanic
-Ndiye aliyekuwa...
Kim Jong- Un ni mtoto wa tano na wa mwisho katika uzao wa Kim Jog-Il (Rais wa pili wa Korea Kaskazini).
Kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi hiyo na alichukua cheo hicho baada ya kifo cha baba yake...
Zikiwa zimebaki siku kadhaa Kabla kuazimisha maazimisho ya kuondokewa na Baba yetu wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Kuna watu wengi wamelipigania Taifa letu lakini Leo...
By correspondent Nova Kambota, 19th January 2013Renowned Kenyan scholar who commands global respect professor Mazrui once quoted insisting that Nyerere had two main features, first a philosopher...
Utangulizi
Barua hiyo hapo chini kutoka Ikulu inasema kuwa uhusiano wa Zambia na Tanzania ulianzishwa na Baba wa Taifa.
Ningependa kwa faida ya historia ya taifa letu lau kwa mukthasari...
1.Ntwadumela ni neno la kisavuti lenye maana ya "He who greets with fire".Katika msitu wa savuti uliojaa miti,wanyama na mto ukikaribia kufika utakutana na kibao kilichoandikwa " He who greets...
WAHADZABE au WATINDIGA
Ni kabila ambalo kwa kiasi fulani bado wanaishi maisha yale ya ujima . Wao bado wanategemea asali , matunda , mizizi na nyama kama chakula kikuu . Bado wanaishi mapangoni...