February 1936 mwili wa mwanaume Giuseppe Veraldi maarufu kama Pepe ulipatikana chini ya daraja huko Catanzaro Italia, ilionekana kuwa aliruka kutoka kwenye daraja na kichwa chake kujibamiza kwenye...
ADAM SHAFI KATIMIZA MIAKA 80: KALAMU YA SHAFI KATIKA KUIELEZA ZANZIBAR
Nilikuwa nimeanza kukisoma kitabu ‘’Haini,’’ cha Shafi Adam Shafi na haikunichukua muda kutambua kuwa mikononi mwangu nina...
WATAWA WA MAPINDUZI - The
Revolutionary Nuns
Mabinti VIPANGA na WAZURI wa sura waliokua wakichaguliwa na GADAFFI mwenyewe. Licha ya UREMBO na AKILI nyingi, Mabinti hawa walikuwa wamepikwa KUUA...
HISTORIA YA ALI MSHAM NA JULIUS NYERERE 1954
Kuna picha ya Mtaa wa Jaribu Magomeni iliyowekewa maelezo kuwa ni Mtaa wa Congo mwaka wa 1920.
Picha iko hapo chini.
Huu si Mtaa wa Congo wala si...
Habari za weekend wakuu?
Natumaini mko salama, kwa ambao hawako sawa Mungu awafanyie wepesi mrudi katika khali zenu nzuri za kila siku.
Ombi langu kwenu ni kwamba miaka kadhaa nyuma nilisoma...
WASIFU WA JULIUS NYERERE: MWALIMU NYERERE NDANI YA OFISI YA TANU ISIYOKUWA NA SAMANI 1954
Nasoma siku za mwanzo za TANU kabla Mwalimu hajajiuzulu kazi ya ualimu.
Waandishi wa kitabu wanasema...
Ibrahim Kaduma akizungumza katika kongamano la Mwalimu Nyerere
Mwalimu Nyerere Memorial Academy
Mwalimu Nyerere Memorial Academy zamani ikijulikana kama Chuo Cha Kivukoni jana tarehe 13 April...
Dale Carnegie aliwahi kusema kuwa *“If you want to Conquer Fear, Don’t Stay Home and Think About It, Go out and Get Busy* (Ukitaka kuishinda Hofu usikae nyumbani na kuendelea kuitafakari, toka na...
JAMES BRENNAN NA MAPENZI YAKE NA HISTORIA YA TANZANIA
“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”
James R. Brennan...
WASIFU WA JULIUS NYERERE: SUALA LA KATIBA YA TANU NA BENDERA YA UINGEREZA KUPEPEA TANGANYIKA
Katika kitabu cha maisha ya Mwalimu Nyerere nimekutana na suala la bendera ya Muingereza, Union Jack...
Leo siku ya Eid El Fitr asubuhi nimejiinamia na mengi katika maisha yangu ya utoto yakanijia nikikumbuka ilivyokuwa asubuhi ya Eid wakati wetu.
Nimemkumbuka kinyozi wetu jina lake Muingereza...
Historia ya vita ya Majimaji imekuwa ikielezwa kwa namna mbalimbali. Kila mmoja anasimulia kwa namna alivyosikia. Wananchi wengi wa ukanda wa kusini walikimbia vita na kuishi sehemu tofauti...
Uchaguzi wa Urais Zanzibar uko njiani unakuja.
Historia ya uchaguzi visiwani inazidi kupambika na kuwa ya kugusa hisia ya kila mwanafunzi wa somo la historia ya siasa za Zanzibar na Afrika.
Dkt...
MAZUNGUMZO NA MAGGID MJENGWA WASIFU WA JULIUS NYERERE: MAMA SAKINA BI CHIKU BINT SAID KISUSA WANAWAKE KUTOKA UANI HADI UWANJANI MNAZI MMOJA KUDAI UHURU
Mara ya mwisho kumuona Mama Sakina, yaani...
Moyo wangu umejawa na simanzi, macho yamefunga kwa huzuni, uso umesawajika kwa haya ninayoyasoma yaliyotendwa na binadamu kwa binadamu wenzao.
Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake...
Ndugu Wana Jamii Forum, Humu Ndani Tume Bahatika Kuwa Na Mdau Echolima, Alishiliki Vita Ya Uganda, Kama Unaswali Tunaweza Tukamuuliza, Kama Unajibu Bara~bara Zaidi Unaweza Ukamsaidia Pia Kujibu...
ASILI YA JINA TANGANYIKA.
Leo 20:30pm 15/06/2020
Ni furaha yetu sote kuwa tuliobarikiwa kuishi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Sisi wananchi wengi na raia wa nchi hii tumeishi zaidi...
Due to the nature of the Transatlantic Slave Trade and the practices of American slave owners, enslaved Africans brought to the U.S. lost much of their connection to the West African cultures from...
Burundi nchi ndogo iliopo katika Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu...