Jukwaa la Historia

On JF:

Leo tujikumbushe tu majanga makubwa zaidi ya mafuriko katika historia duniani, ukiacha simulizi la gharika la Nuhu kwenye vitabu vitakatifu kabla ya kuzaliwa Kristo. China ilionekana kuongoza kwa...
7 Reactions
15 Replies
5K Views
Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi au mama Shuma kwa jina lingine
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MGOGORO WA MACHAME NA KIBOSHO Kwanza nipende kuwaarifu kuwa hapo Mwanzo kabla ya utawala wa Sina hapakuwepo na uhasama kati ya Mashami na Kiwoso. Watu walikuwa wanashirikiana na kuoana toka...
2 Reactions
22 Replies
9K Views
MSHUME KIYATE KATIKA KURASA DARASA TBC1 Katika mahojiano yangu na mtangazaji Maureen Minanago wa TBC1 mtayarishaji wa kipindi Kurasa Darasa tukizungumza kuhusu utunzaji wa kumbukumbu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Yakubu Gowon Nigeria : 1966 - 1975 Total kills : 1.1 Million Mengistu Haile Mariam Ethiopia : 1974 - 1991 Total kills : 1.5 million Kim II Sung North Korea : 1948 - 1994 Total killing : 1.6...
2 Reactions
37 Replies
13K Views
Wengi ukiongolea Utumwa wanafikiri ni wale tu waliosafirishwa kwa meli mpaka Amerika, wanasahau kwamba Biashara ya utumwa ilifanyika hapa hapa pia, mfano wengi wanaojiita Wazanzibari leo hii...
11 Reactions
71 Replies
6K Views
Hii picha inazunguka kama umeme wa songasi au gesi ya Putin mitandaoni huyu demu ni nani? USSR
9 Reactions
21 Replies
4K Views
Mnamo mwaka 1696 hadi 1698 utawala wa Unguja unatajwa kuwa uligawanyika ambapo aliyekuwa mtawala wa Zanzibar Kaskazini alikuwa ni Malkia Fatuma binti Yusuf al-Alawi. Fatuma alikuwa mtoto wa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nyerere alicheza Msondo, wewe nani usicheze? Miaka 56 iliyopita, nazungumzia mwaka 1964, bendi mbili kubwa za Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, zilipiga dansi maalumu la kuchangia chama cha...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
. Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Wengi hawajui hili lakini alikuwa akifikia mitaa Gerezani.
21 Reactions
62 Replies
7K Views
Saparmurat Niyazov Kuanzia mwaka 1985-2005 Turkmenistan ilikuwa chini ya dikteta Saparmurat Niyazov. Alifanya maajabu haya. - Alijenga sanamu yake kubwa sana. Sanamu hiyo ilikuwa inazunguka ili...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
MTAA WA SHEIKH YUSUF BADI LINDI Sheikh Yusuf Badi hakupenda kupigwa picha na hadi leo sijapata picha yake. Sheikh Mohamed Yusuf Badi ni sheikh pekee katika masheikh waliopigania uhuru wa...
6 Reactions
2 Replies
1K Views
Je Wajua? KABILA LA WAKURYA Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za...
23 Reactions
115 Replies
33K Views
Dkt, John Joseph Pombe Magufuli ni mwalimu na mtalaamu wa kemia akiwa na Shahada ya Uzamivu (PhD). Kuzaliwa Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la...
6 Reactions
112 Replies
18K Views
Miaka ya nyuma tuliona maandalizi ya hii siku kuanzia kwenye vyombo vya habari na hata viongozi wetu walikuwa wakilitaja hili jina kuanzia April mosi hadi siku kama ya leo kilele. Lakiini sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwalimu Nyerere anabaki kuwa ALAMA ya baraka tele kwa taifa letu adhimu. Komredi Manyerere Jackton anasema kuwa kila ukikutana na kuongea na Mwalimu Nyerere ulikuwa unaihisi nguvu ya ajabu na ya...
6 Reactions
44 Replies
4K Views
Kushoto ni Brian Wills kutoka Conservative Party ya Uingereza akisimamia uchaguzi wa UTP huyo pembeni yake ni Sheikh Hussein Juma aliyekuwa Makamu wa Rais wa UTP.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…