Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Bado navuta tafakuri ambayo wakati wote inapelekea nijiulize maswali mengi ambayo kwa bahati mbaya nimekuwa nikishindwa kuyapatia majibu.Mfano wa swali mojawapo la msingi ambalo ni kati ya yale...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kuwa huko Dodoma wanachuo wa St. Johns waandamana kupinga vitendo vya wizi na ubakaji vinavyofanywa na vijana wa kihuni pembezoni na ndani ya chuo hicho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nigerian Rapper Don Saint is out with a new book "Emancipation From Masturbation'. Don Saint is the second Nigerian Hip Hop Artiste after Naeto C to obtain a Master’s Degree in Religion and Human...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
jamani nimehtimu kidato cha 4 mwaka 2007 na nika awarded na div two.baada ya hapo nilienda advance kusoma.HGL nikawa awarded div 3 point 15, sikuomba chuo kwa kuogopa kusoma ualimu,kwasbb nilijua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Deleted!
0 Reactions
0 Replies
800 Views
tafadhali wadau wa jf, kwa yeyote mwenye hayo matokeo anipatie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWA KAMISHENA WA ELIMU WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI, MAKAO MAKUU DAR-ES-SALAAM. Yah: WARAKA WA ELIMU NAMBA 5 WA MWAKA 2012 KUHUSU MAREKABISHO YA MIHULA YA SHULE ZA SEKONDARI NA VYUO...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau, Tumeshuhudia wanafunzi wengi wakifeli darasa la saba wanavyosota mitaani bila mahali pa kwenda, hasa wazazi wao wasipokuwa na uwezo wa kuwapeleka shule binafsi. Kwa sababu hii pia, bila...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Viongozi wa UDOSO mnasubiri nini kujiuzulu? Wanafunzi wa UDOM wanaishi bila mikopo kwa zaidi ya miezi mitatu chuoni na wakati nyie mpo??kama mmeshindwa kutatua matatizo ya wanafunzi wenu...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni maswali ambayo yananitatiza kila siku, katika shule ya sekondari ya serikari ambayo ninasoma kuna utaratibu wa kuletwa waalimu ambao ni raia wa kigeni hasa marekani kuja kufundisha Wanakaa...
0 Reactions
1 Replies
969 Views
(1) Mimi nimepita chuoni, au (2) Chuo kimenipitia mimi! Tafakari na ujibu ukilinganisha na wasomi wetu (kwa idadi kubwa) hapa Tanzania. Kuelimika ni kubadilisha tabia na mwenendo huku...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
businesses involving the use of labour and capital without the use of land
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Mimi ni mfanyabiashara na biashara zimekua ngumu. Nimechoka natafuta njia za kujikwamua kimaisha. Nataka nisome kwa kupitia online bila ya kwenda huko
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi, Nasikitika sana wanafunzi vyuo vikuu mwaka huu kukosa mikopo haaswa mwaka wa 2,3 na 4.Wanafunzi hao hulalamika sana na kufikia hatua kwenda bodi ya mikopo wenyewe kudai...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Mimi ni mwalimu ninatafuta sehemu ya kufundisha part time somo la Kifaransa.Nina shahada ya Elimu na uzoefu wa miaka 2.Niko tayari kufundisha kuanzia primary school,sekondary...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
upo class unafundisha geo mada ni rotion of the earth...mwanafunz akauliza kwa hiyo kama dunia inajizungusha na sis bila shaka tunazunguka pia, lakin mbona dakika hii hapa tulipo hatuzunguki na...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Suruali/kaptura kwa wanaume, sketi kwa wanawake (kabla ya mambo ya sasa ya haki sawa hasa kwa wanawake dhidi ya wanaume)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda huu. Habari za kusikitisha kabisa ni kwamba mmoja wa wakaguzi wa ELIMU wilayani Rombo ametoa kauli chafu na ya kuudhi kama si kudhalilisha kwa kundi la Walemavu. Mkaguzi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kuna hizi tetesi nimezipata muda si mrefu kuwa, kuna Mwanafunzi wa SJUT amebakwa na kufariki. Hii imekaaje wadau?
0 Reactions
56 Replies
8K Views
nashindwa kujua tatizo linalokwamisha kutangaza ajira za walimu, kama bajeti ilikwisha kupangwa, nini tatizo?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…