Naombeni msaada kwa yule anaye jua kuhusi majina walio chaguliwa kwenye 3rd round selection from Nacte |CAS .maana mimi sijui naombeni msaada wenu au kama alie ona
mdogo wangu amesoma( hgk) na amepangwa kusoma degree ya computer science,hiv inawezekana kubadili koz katika chuo hichohicho? maana hesabu ni tatizo kwake.
Niko mbali na dar so nashindwa kuchukua joining instruction kama wewe unayo soft copy(pdf file) naomba uni2mie kupitia e-mail yangu bernardbnmhagama@gmail.com au kupitia hii JF.
Majina ya waliopata mkopo yamepelekwa kwenye vyuo mbalimbali ambavyo vimewahi kufungua. Chuo cha Uongozi wa Kodi(Institute of Tax Admin) yamebandikwa kwenye notisi bosi.
Wizara ya elimu imesema kwamba inarudisha madarasa ya o-level kwenye shule zilizokuwa na a-level tupu lengo ni kuwapa nafasi watoto wa darasa la saba ambao wanaufaulu wa kati na ambao wamekosa...
Wana JF naombeni msaada ntawezaje kupata list C hadi K kwa LOAN APPLICANTS TO CORRECT NECESSARY INFORMATION IN THEIR LOAN APPLICATIONS kwa sababu kila nikifungua web ya HELSB napata list yenye...
Wadau naombeni msaada wenu,mimi nimesoma nje nchini Uingereza elimu yangu ya kuunga unga nikapata foundation degree in business management,ambapo ningekua na nguvu ya kuendelea kusoma kule ninge...
ndg zang nazan n wazma wa afya:me nmechaguliwa SAUT-MBEYA CAMPUS natokea Dar nmeambiwa kko pembeni ya mji wa mbeya xo ningependa kwa wale wanaojua hiyo sehem wanielekeze jinsi gani nitafka...
Nitangulize salamu zangu kwenu wanajamvi. Nimechaguliwa katika course ya barchelor of science in urban and region planing katika chuo cha ardhi . Nahitaji kufahamishwa kuhusiana na hii course hasa...
Naomben mnijuze baadh ya vitu ambavyo unatakiwa kwenda navyo kwa sasa kabla ya tar 12 oct na mambo mhm mnayokutana nayo huko natanguliza shukran kwenu wakuu
JAMAN aka wana jf kuna habar kwnye website ya jkt kuwa wanafunz wote wanatakiwa kwnda shule....habar inaendlea na inatakiwa udownload xo simu yang haina uwezo bhax anayeweza ku2fanyia msaada...
Naomba yeyote mwenye ujuzi wa software inayoitwa ORION DESKTOP inayotumika sna na ma-suppliyer ktk bussines anijuze kwa ufupi inavofanya kzi.:A S new::A S new::A S new:
Enzi nipo kidato cha 5 na 6 tulikuwa na mwalimu wa physics, mwalimu huyu alikuwa mweupe sana, maswali karibia yote alikuwa akisolve hafiki mwisho yanamshinda. Lakini alikuwa mtu wa vistory vingi...
Wadau JF, Naomba kujua taratibu za kuanzisha BABY CLASS/NURSERY SCHOOL(Lengo ni kuwafundisha watoto wadogo kuandika,kuimba,kusoma,kucheza na kukuza ufahamu wao,halikadhalika kuwalea watoto wadogo...
"nimalize depo nikamwone mama,we nimalize depo nikamwone baba,aiyayaya iya iyo mama x2...MWISHO WA MAFUNZO MUJIBU AWAMU YA PILI frm JUNE 24 TO SEP 27!!...tc me kuruta wa mungu [updated-boy]
jama nashindwa nifanye nini kwasababu nimeshachukua admission letter na wanahitaji tulipe asilimia 60 ya ada ambayo ni 1million na laki moja ivi..kiukweli familia yangu haimudi kunilipia hiyo pesa...
Nacte wameachia mzigo ilakwa wale wa 3rd round selection kama ukitaka kucheki fanya hivi,
www.nacte.com after that go to Nacte | Task Force for Accademic year 2013/2014. clik after that go to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.