Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naombeni kujuzwa kiwango cha ada wanachotakiwa kulipa wote walochaguliwa na wizara ya afya kwa ngazi ya diploma na certificate tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Naombeni kujuzwa kiwango cha ada wanachotakiwa kulipa wote walochaguliwa na wizara ya afya kwa ngazi ya diploma na certificate tafadhali ikiwezekana na mahitaji ya muhimu sana chuoni.
0 Reactions
0 Replies
681 Views
bodi ya mikopo imetangaza kuwaonea huruma wale ambao hawajapata mkopo kabisa kwa kuwapa pesa ya accomodation na stationary.wadau hivi ni kwel au wanatupa moyo tu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu, Naomba nifaamishwe km udom wamemliza usaili kwa watu wa masters wa education na kama wameanza kusoma kwa wale wa fultym na kama je nikitaka nafasi saiv nitaweza kupata kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Elimu, Phillip Mulugo SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imekunjua makucha yake kwa kutangaza kuvifuta vyuo 10 ambavyo havikusajiliwa na Baraza la Taifa la...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tume ya Pinda yabaini madudu ya kutisha mtihani wa kidato cha Nne mwaka jana. Uchunguzi waonyesha masomo ya sayansi yalihitaji saa sita kufanya somo moja. Asilimia 41% ya walimu waliofanyishwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu 2saidiane mawazo hapa hasa kwa sisi ambao tulikua tunataman kusoma koz za afya lakn mwisho wa siku 2meachwa na vigezo tunavyo. Je, Private bado kuna chance?
0 Reactions
0 Replies
867 Views
bodi ya mlkopo imetangaza kuwaonea huruma wale ambao hawajapata mkopo kabisa kwa kuwapa pesa ya accomodation na stationary.wadau hivi ni kwel au wanatupa moyo tu
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu,.. Naombeni kama kuna anayefahamu anijuze tafadhali,..
0 Reactions
0 Replies
674 Views
habarini wanajamvi.... kusema cha ukweli mi nimepata chance mabbo host. bt mazingira na kila kitu cha uku... vinanizingua.. so kwa yeyote aliyepata m.campus na angependa au anatamani kuhamia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hivi wizara ya afya inaweza kutoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngaz ya diploma na cheti,wiki ijayo?au bado sana?mwenye tetesi kuhusu hili naomba atujulishe please!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
jaman nauliza hiv mwisho wa usajili st.joseph ni lin maana masharti ya kwamba lazma uwe na laki tano majanga.naombeni msaada mliosajiliwa.
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Mwenye kujua hali ya hewa ya kahama ilivyo anifahamishe tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Habari ! Hii fani kwa hapa Tanzania nafikiri vyuo vinavyotoa ni ATC kwa ngazi ya Diploma na NIT kwa ngazi ya degree/ Naomba ufafanuzi wake kuhusu soko lake la ajira kwa hapa kwetu Tanzania.. na...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Kumeibuka posts nyingi za kuichafua udsm kwa fujo sana.ikumbukwe kua hata hao wataalamu wavingine ni mazalia ya udsm.Ubora wa wataalam upo vilevile.kinachoweza kutiliwa shaka ni wadahiliwa mana...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
wadau mlioko hapo udsm bado nasaka hela ya ada nauliza mwisho wa registration ni lini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayekijua hik chuo mazingira yake kwa ujumla anifahamishe mdogo wangu kachaguliwa hapo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nijuavyo mimi ni kwamba Shahada (Digrii) zinatunukuwa na Vyuo Vikuu pamoja na Vyuo Vishiriki vilivyo chini ya Vyuo Vikuu husika lakini nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini 'Taasisi ya Usimamizi...
0 Reactions
69 Replies
16K Views
Back
Top Bottom