Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hadi kufikia Machi 31 mwaka huu, Wizara ya Elimu ilihitaji kiasi cha Sh86.5 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wananfunzi, Bunge lilielezwa jana. Mbali na kiasi hicho, hadi kufikia wakati huo...
0 Reactions
3 Replies
994 Views
Naomba msaada wa kupata vyuo vinavyotoa distance learning hapa tanzania, nimejaribu hata kugoogle sijapata, mnaojua tafadhali naombeni msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf, ni jambo la kushangaza na kusikitisha kwa hawa maafisa wa wilaya ya URAMBO. Pamoja na walimu kuripoti tarehe mosi aprili,lakini halmashauri haitaki kuwapa mshahara walimu wapya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau nauliza kama kuna mwenye taarifa za nafasi za masomo kwenye vyuo vya kilimo atuwekee.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wlimu tumezoea kupata salary tar 25 mpaka 27 ya mwezi, but mwezi huu mpaka leo 28 kesho 29 bado migodi mikavu kulikoni? Kuna latest nimeipata kwa jamaa yangu toka babati eti kuna process...
1 Reactions
101 Replies
12K Views
Habari za mida wakuu, Kuna mdogo wangu alimaliza form 4 mwaka juzi akapata division 4 ya point 29, alikaa nyumbani mwaka mzima. Mwaka huu ameamua kutafuta chuo, ila kwa bahati mbaya kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama 7500 inamtosha mwanafunzi wa chuo kwa matumizi ya siku moja, kwa nini wabunge nao wasijengewe hostel wakae humo halafu wawe wanalipa 500 kwa siku kama wanafunzi wa vyuo, halafu badala wawe...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Shule ya Msingi SEFANONI iliyopo katika Wilaya ya Manyoni Singida imeingia katika maajabu ya shule kuendelea kuwepo huku kukiwa hakuna mambo yanayowezesha uwepo wa utoaji wa taaruma katika shule...
0 Reactions
55 Replies
10K Views
Hii ni kutokana na kucheleweshewa pesa zao za chakula na malazi,vilevile wanadai mazingira mazuri ya kusomea na malazi.matangazo ya kuhamasisha mgomo,yamezagaa kila kona ya chuo,wanafunzi wote...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
vipi hali wana jukwaa , nilikuwa na hitaji na wanafunzi wanaosoma katika hivyo vyuo nilivyovitaja hapo juu ,ningependa wanijuze kuhusiana na kozi ya CLEARING AND FOWARDING ikiwa bado inasomeshwa...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Naomba kufahamishwa wana jf ni chuo gani kizuri kusomea mambo ya graphic and design mana niuliza ucc nimeambia hadi mwezi wa 11 msaasa tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Nimeshangazwa na habari kuwa katika kuokoa jahazi la STRABAG serikali imeomba bodi ya mikopo itoe fedha lakini bodi ikasema fedha ilienda DANIDA.Habari kamili iko kwenye thread kwenye jukwaa la...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
anaejua anifahamishe jaman....kama mtu amesoma diploma ya mechanical au computer engineering anaweza kuaply kozi za biashara kama account,procurement etc
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza!!!Nina shemeji yangu ana Diploma ya IT anataka kuendelea na Degree ameniuliza ni kozi gani tofauti na IT anaweza endelea nayo ambayo anaruhusiwa kuomba nafasi ya chuo?Na ipi ni...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
News from heslb, wanafunzi wote wa vyuo vikuu vya tanzania fedha ya chakula na maladhi ya awam ya pili kwa masomo 2014/ itapitishwa mpaka mchakato wa maoni ya katiba kukamilika hapo tarehe...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Mm nimeanza mtihani wa kidato cha sita Leo lkn ktk usajili GS lilisahaulika na sikugundua mapema coz nilichelewa kuchukua barua sasa sijui majibu yatakuwaje na je yataniwezesha kuendelea au mpaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana jamvi naomba msaada jinsi ya kuapply mafunzo ya shahada online,nikifungua moe sioni sehem ya kjisajiri online,je nifanyaje wanajamvi?naomba msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Back
Top Bottom