Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu poleni na majukumu Mi nikijana ambae nataka kujiajiri sasa napata tatizo kidogo, nimeweza kuanzisha website yangu na pages kadhaa tayari kwaajili ya advertisements sasa nimefika kati kati...
1 Reactions
2 Replies
845 Views
Stanzania
0 Reactions
8 Replies
813 Views
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Nimeichukua mahali, Inaweza kukusaidia, Ushawahi kuwaza kwanini kuna watu maisha yetu daily yanakua yanasukumwa na Mikopo? Ni kwa sababu tunakopa kununua vitu ambavyo baada ya muda wa mkopo na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT Nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Kwa wanachama wa NSSF, hakikisha unakwenda sambamba na mwajiri wako kwa michango yako ya kila mwezi' kwa kufuata utaratibu huu hapa chini: KUJUA KIASI ULICHO CHANGIA KWA WANACHAMA wa NSSF: Fuata...
1 Reactions
34 Replies
47K Views
Wakuu jamvini nataka kupiga hatua kwenye hii biashara yangu ya kuuza maziwa fresh, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kuyapack kwenye vigaloni vya lita tano na packing ndogondogo za kupreserve kwa...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kampuni ya Ante BV. ya Uholanzi inajishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa mashine na Mitambo ya kilimo na usindikaji wa Maziwa na vyakula vinginevyo. Mashine hizi ni mipya kwa oda maalum toka...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataadhalisha Mihan gas kwa ujinga wa mipango isiokuwa na manufaa kwa jamii wala kampuni yenyewe Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Baada ya Kukosa kazi nikawa nawaza. Unga kllo 50 kwa mwezi tsh 65,000/=, kwa mwaka 780,000/=. Maharage kilo tsh 2,000, kwa siku @265 530,000/=, nyama kilo 6500, kwa siku 100 650,000 (jumla siku...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral Price went down on Monday and Tuesday, went up on Wednesday and Thursday, and came down again on Friday. This kind of...
2 Reactions
3 Replies
835 Views
Za mda huu wakuu, Naanza hoja bila kupoteza mda, Kwa kawaida huwa tuna siku za kitaifa ambazi watu huwa wanatumia kupumzika Au kutokwenda kazini lakini kwa wakati huo huo siku hiyo watu huwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anajifanya kuwa ni mfanyakazi wa Airtel huduma kwa wateja kwa jina la Peter Dickson. Ukifuata anachokuelekeza unaibiwa pesa kwenye account yako ya airtel money.
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu nataka kujikita katika uagizaji wa spare za magari madogo na makubwa, tatizo sielewi hawa jamaa wa TRA wanachaji vipi kama unaleta used spare parts
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The question above is common whenever I come across people who used to be traders. They started trading because they thought it was easy and because they thought they’d strike it rich...
6 Reactions
1 Replies
903 Views
Habari Wadau naombeni nisaidiwe kujua accounting package ipi ni bora kwa SME ili niweze kufanya maamuzi sahihi kuinunua!! Naweza kujua makampuni yanayouza hizo software hapa tanzania? Market share...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Nina hisa zangu za NMB nilinunua 2008 ,sasa najaribu kuziuza sababu na shida ya pesa ila sasa ni mwezi wa pili haziuziki. Nawaza hakuna taasisi yoyote ya kifedha inayoweza kutoa mkopo na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Uwekezaji Bora kwa Miti ya Mipaina/Pines na Milingoti/Eucalyptus. Uwekezaji wa kupanda miti unachukua muda mrefu kidogo ukilinganisha na mazao mengine ya nafaka hivyo toka muda wa kupanda inaweza...
1 Reactions
5 Replies
10K Views
House model desgnes. Contact 0763269695 For more information about house map with it's model.
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…