Hebu tusaidieni watu wa TRA na ofisi za afya kuwadhibiti wafanya biashara wasio walipa kodi.Utakuta mathalani nimefungua biashara yangu let say ya ka baa.Na nimeamua kuwa mlipa kodi japo makadirio...
Kuna hizo nafasi mbili za juu kabisa ziko wazi nchini. Naona vijana wawili robust ambao they could fit katika yoyote.
1. Nehemia Mchechu
2. Lawrence Mafuru
Nawasilisha
Wakuu salama..
Naomba msaada: ninahitaji kwa anayejua utaratibu wa kubadilisha jina la biashara aweze kunisaidia maana nahitaji kubadili sha jina la biashara yangu.
Na je, ipi ni rahisi au bora...
Mwezi August mwaka huu Air Tanzania inatarajia kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Viwanja vya Entebbe na Bujumbura.
Hatimaye Wings of Kilimanjaro a.k.a Twiga anayepaa amerejea angani...
Wadau ,
Nimepata fremu maeneo ya kariakoo katika eneo ambalo ni la vitu vya electronics. Sasa niko katika utafiti kujua kipi kinafaa Zaidi kwa biashara kati ya vitu vifuatavyo;
a. Biashara...
Kijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa...
Nina line mbili za M-Pesa (ya wakala na second) zote pin ziko blocked, bad enough nilinunua tu kwa mtu 3yrs ago. Kwa hiyo haziko kwa majina yangu. Naombeni msaada kwa mwenye maarifa namna ya...
Jamani nataka kuwa mjasiriamali? Na nataka nianzishe biashara yangu kwa mtaji mdogo sana,je una niashauri nini kwenye biashara hiyo ambayo nataka niifanya ingawa bado sijaifikilia biashara gani...
Wakuu hivi NMB wanapokutumia SMS kwamba karibu upate Mkopo wenye riba nafuu kwa kukitaja jina kabisa,wanakuwa wanapata wapi taarifa zako?
Je wako serious watakupa mkopo?
Je wametumia kigezo gani...
Habari wana JF, natumai muwazima afya,
Moja kwa moja kwenye mada, kama kichwa cha habari kilivojieleza hapo juu,
Nimepata matatizo huko nyumbani shida yangu nilikua naomba wasamaria wema wa JF...
Tanzania imeorodheshwa kuwa miongoni mwa mataifa ambayo uchumi wake utakua kwa kasi zaidi kufikia mwaka 2026.
Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo cha Chuo Kikuu cha Havard cha Marekani kinakadiria...
Naomba niwe muwazi. Mimi ni mmoja kati ya watu wanaotumia huduma za kifenda za hii mitandao ya simu.
Naomba kuwapongeza tigo kwakua wako poa na hawajawahi kunisumbua.
Tatizo ni kwa hawa mpesa...
Makala Ndani ya RAIA MWEMA: "Ndimi mbili za Zitto na kisa cha mkata kuti alilokalia"
Makala Ndani ya RAIA MWEMA: "Ndimi mbili za Zitto na kisa cha mkata kuti alilokalia"
Kuna binti mmoja kutoka Tanga alipata mchumba, ni kijana anaeishi Dar. Mchumba akimuomba sense likizo mwezini mmoja ili wafahamiane vizuri kabla ya harusi.
Yule binti amefika kwa mchumba aliona...
*MTIHANI WA UELEWA WA ELIMU YA FEDHA*
kabla sijaanza kufundisha juu ya elimu ya fedha naomba kutoa mtihani huu wa kifedha, lengo la mtihani huu Ni kujitambua wewe mwenyewe juu ya uelewa wako wa...
Poleni na shughuli wakuu, ninaona fursa kabisa iko wazi hapa kwenye biashara ya juice hasa kwa sisi ambao tupo mkoani. Kwa sisi ambao bado hatujaingia rasmi kwenye hiyo biashara ni vyema tungepata...