Heshima kwenu Wakuu! Hapa kati nimejichanga kama $ 13000 hivi nikaona sio mbaya nitafute SUV kwa ajili ya Safari za Porini hasa siku nimeamua kutembelea mbuga za wanyama.
Katika Pita pita zangu...
NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji...
Habari wapendwa,
Ninahitaji kubadilisha matairi ya gari size 195/70 R14
Ninaomba kufahamu uzuri na ubaya wa brands zifuatazo
1. YANA
2. APOLLO
3. JK TYRES
4. TRIANGLE
5. GOODRIDE
Bajeti yangu...
Kwa Tanzania kama uchumi wako sio wa walamba asali, wala keki ya taifa usinunue brand nyingine ya gari zaidi ya Toyota.
Kununua Toyota ni kujihakikishia uwepo wa wateja na pia kupata thamani...
Wataalam,
Pikipiki yangu ni ndogo aina ya Sinoray 110, Full tank mafuta ni Lita tatu (3) tu.
Nilipoinunua ikiwa mpya nilikuwa naitumia hadi siku 6 kwa mizunguko yangu ya kwenda kazini na kurudi...
Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump...
Ndugu zangu habari,
Kama ambavyo utangulizi unavyo jieleza,nataka ninunue kati ya hizo gari tajwa hapo juu,naomba ushauri wenu na utaalamu juu ya hizo gari.
Asanteni sana hapo chini...
Wadau habari,
Nina kagari kangu ka vitz old model. Kumbukeni mimi ni kabwela nimejichanga changa tu japo na mimi nipate kausafiri.
Sasa kalikuwa na leakage, fundi akafungua cylinder head akatibu...
Salama wanajukwaa?
Leo tutagusia baadhi ya gari za mizigo ambazo hupendelewa zaidi hapa nchini kwetu Tanzania. Tutaziangalia kuanzia ndogo kabisa kuelekea zile kubwa.
1. Suzuki Carry
Hizi ni...
Habarini za majukumu ndugu zangu wa Jf.
Bila kupoteza muda twende kwenye maada moja kwa moja.. Nina mpango wa kuagiza gari aina ya townace kwa ajili ya biashara nilikuwa naomba kujua kuhusu...
Bila shaka mko poa,
Kufuatia mapokezi ya mgeni mjini usajili wa namba "E" kuna wamiliki wa namba za nyuma hususani "D" ambao kwa namna moja au nyengine mngependa kuuza gari zenu kwa ajili ya...
Kumekuwa na promo nyingi sana kuhusiana na kampumpuni ya hellow hunter juu ya uuzaji wa hizi pikipiki zao zenye muundo wa boxer.
Nina mpango wa kununua pikipiki mpya mwishoni mwa mwaka lakini...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, wadau tushirikishane kampuni nzuri na best inayomfaa mteja kuagiza magari nje ya nchi.
Na pia wale ambao wamewahi kuagiza watupe uzoefu wao na waliyopitia...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza watu wengi sana wamekua wakipata ugumu Hasa linapokuja swala zima la kutafuta mnunuzi au mtu anayetaka kukodisha gari yake. sasa leo Nitakufahamisha njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.