Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 761
- 1,006
Wataalam,
Pikipiki yangu ni ndogo aina ya Sinoray 110, Full tank mafuta ni Lita tatu (3) tu.
Nilipoinunua ikiwa mpya nilikuwa naitumia hadi siku 6 kwa mizunguko yangu ya kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Ni miaka miwili imepita sasa, ila kwa Sasa Lita zilezile 3, nazitumia siku 3 tu kwa mizunguko ileile.
Tatizo linaweza kuwa ni nini hapa wataalam?
Pikipiki yangu ni ndogo aina ya Sinoray 110, Full tank mafuta ni Lita tatu (3) tu.
Nilipoinunua ikiwa mpya nilikuwa naitumia hadi siku 6 kwa mizunguko yangu ya kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Ni miaka miwili imepita sasa, ila kwa Sasa Lita zilezile 3, nazitumia siku 3 tu kwa mizunguko ileile.
Tatizo linaweza kuwa ni nini hapa wataalam?