JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
KAMA MWANAUME Adui wa kwanza wa kupambana naye ni tamaa ya NGONO. Mwanaume mwenye tamaa HII ya ngono Ndani ya dk 5 anaweza poteza ndoto na malengo ya miaka 20 ijayo Ndani ya ngono kuna BARAKA...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
Mwanamke wa Njombe ni sawa na wanaume watano wa Kinondoni. Ukiongeza Anko T kama kifungashio.
14 Reactions
23 Replies
1K Views
Inakutangazia kozi zifuatazo:- 1-Wizi wa kura, 2-Kutumia vyeti feki, 3-Kulipa mishahara hewa, 4-Kuanzisha makampuni feki. Chuo kitakupeleka field EPA, BOT, JWTZ, IKULU na utaajiriwa na makampuni...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Guys najaribu kupost uzi kwa mara ya kwanza kwenye JF mpya tena kwa VPN, yeey! Okay nipo bored, njooni tupige story mbili tatu, nipo Unguja sijui kwanini nikiwa huku nakua bored kuliko nikiwa...
26 Reactions
304 Replies
7K Views
Tulipokuwa shule, darasani tulikuwa wanafunzi wa aina mbalimbali na makundi tofautitofauti kulingana na tabia au haiba ya mtu. Darasa lililokamilika kwa hekaheka za hapa na pale ilikuwa lazima...
12 Reactions
77 Replies
3K Views
Hey guys, siku kama ya leo ni siku ambayo mimi nilizaliwa hivyo sina budi kuifurahia. Happy birthday to me πŸŽ‚πŸ˜πŸŽ‚
14 Reactions
85 Replies
1K Views
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi. Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Hi Wakazi wa dar ni changamoto Gani ulikutana nayo baada ya kumpokea rafiki, ndugu, jamaa na kukuomba umsindikize au umtembeze mjini Wa mkoani wengi wakifika dar wanataka kwenda kitambaa...
13 Reactions
62 Replies
2K Views
Video hii ikimuonyesha kijana mmoja akiwa yupo kituo cha mafuta baada ya kuwekewa mafuta hakulipa pesa na akatimbua mbio. adriz
0 Reactions
5 Replies
272 Views
Hey guys, je ni sawa hivi vitu kula usiku? Nyie wenzangu mnakulaga nini usiku?
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Mimi kuna bar hapo Tabata wamenipa jina la king mswati.Hilo jina walinipa kwa sababu ya kila bar maid anaekuja lazima nipite naye, Wadau wakaamua kuniita king mswati. Wewe je mdau, maeneo yako ya...
2 Reactions
13 Replies
618 Views
Mimi ya kwangu ikivunjika kioo naenda kubadilisha Leo Leo maana kioo chake hakizidi 30 dukani
4 Reactions
17 Replies
592 Views
Leo jioni nikiwa natoka kwenye harakati za mtu mweusi njiani kuna mama alikua anauza maharage mabichi yaliyomenywa, nikasema ngoja nisapoti family business kwani mama yangu kule kijijini anafanya...
2 Reactions
2 Replies
170 Views
Habari wanajukwaa mnaendeleaje na kujenga taifa? Kuna uzi mmoja nimesoma asubuhi hii nimecheka mno kuhusu search histories za watu kwenye simu zao. Kuna histories za mambo ya ajabu ambayo mtu...
10 Reactions
148 Replies
5K Views
Nimeingalia mara mbili mbili hatari sana
1 Reactions
6 Replies
441 Views
Kwenye pita pita zako mtandaoni unakutana na hii picha, unapo-zoom na kutazama vizuri unamuona bi mkubwa naye yupo hapo chini. Utafanya nini mkuu? πŸ˜ƒ comment ziwe fupi fupi
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…