Mimi sishabikii ukabila lakini hili la wagogo wa Dodoma limenishangaza.
Eti Chatu ni nyoka wa mvua na haupaswi kumuua hata kukimkuta ndani mwako.
Kenge, ni kiumbe wa mavuno na ukimuua basi...
Hello!, JamiiForums members.
Nowdays, members wengi wa JamiiForums wamekuwa wakipost mambo ya siasa ambayo hayana mchango mkubwa katika maisha yetu so nilikuwa naomba tu-focus pia na majukwaa mengine.
1. Wewe mwanamke ambaye mpaka saa hizi ajatandika kitanda toka alipo amka. Eti yupo busy na kusaka noti. Hahahahaha wewe ni bachela sio wife material hata iweje. Ndio mnaotuchafulia cv wanawake...
Oyaa,Familia Nawakumbusha Mambo ya Kuzingatia Kwa wewe Kijana Mwenye Malengo.
1)Kutumia Condom kwa kila Tendo ili kulinda Afya yako.
2)Kwenda kwa waganga ili kulinda na kukuza Uchumi wako ,na...
My Take
Naona Gen.Muhoozi ni Mzee wa heavy duty trucks,amemaliza Kila kitu πππππ
https://www.instagram.com/reel/DTyEsXKjGcv/?igsh=MXR0d2FiZGIxZzlwMg==
Habar wana JF natumaini wote wazima poleni pia na majukumu yanayo wakeep busy .
Nilisha wahi kupewa nisimamie mradi wa misitu ya serikali mwaka fulani, lakin kwa bahati mbaya zilidaka moto...
Habari wakuu,
Hivi kuna mtu mwenye Mod ya StarTimes Apk (cracked apk) na kama unayo au unajua site ambayo nitaweza kuidownload please naomba nijulishe hapa.
Google map location inaonesha ukanda wa Gaza wa Tanganyika (Tanganyika Gaza strip) Unaanzia Kimara Baruti mpakani ni Mbezi Kibanda cha mkaa
Majimbo yake randomly
Kimara Suka
Bucha
Temboni...
Namsikia sana humu bt kumbe ni mtu mzima tu, sasahivi kabla sija comment chochote humu nitaanza na shkamooπ, weeh wampe tu Teuzi
anyways ilikuwa poa kumuona, japo nae hajanijua, cheers uncle
Salaam wanajamvi,
Naombeni ushauri wa kina, nataka kuhama jiji la Dsm je niende mkoa gani?
Wenye maisha rahisi, vyakula vya kutosha, niweze kufanya biashara pia kwa maana ya mzunguko wa pesa...