JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanajukwaa, hivi kuna kampuni ya bima ambayo naweza kukatia bima kiungo changu kimoja tu kama mambele uko Ulaya? Maana toka nimefika DSM kuna kiungo changu nakitumia hadi nakihurumia!
2 Reactions
5 Replies
165 Views
Kumbe nateseka tu hapa kumbe Nina ndugu za kiarabu, embu niwajue wanipe hata bilioni 20 pesa za mafuta nifungue biashara.
7 Reactions
8 Replies
246 Views
Mwamba baada ya Nzega kumnyoosha ameanza kuiboresha CV Kusaka ajira mpya HALMASHAURI ili angalau asikose kitu kila mwezi. TEUZI ndo basi tena. Asanteni Nzega
9 Reactions
75 Replies
4K Views
Ni binti mwenye umbo la pekee na sura ya kuvutia. Mrembo na mzuri wa aina Yake. Kaumbika toka kwenye unyayo hadi utosini. Her eye catching undisputed beauty makes heads turn. Despite her good...
10 Reactions
111 Replies
7K Views
Asubuhi na mapema nakutana na huu ujumbe. Naomba kuuliza kama usingesoma na kupata kibarua ulichonacho sasahivi ungekuwa wapi na unafanya nini? Au na wewe ungesema Bora ningesoma😌
8 Reactions
34 Replies
549 Views
Small pleasures - mambo gani yanatokea mara kwa mara na yanakufurahisha kwenye maisha ya kila siku? Acha nianze :) Kutoa bra na nguo za kubana bana baada ya kufika nyumbani
. Kuwa peke yangu...
20 Reactions
311 Replies
9K Views
Nipo hapa mjini nashangaa shangaa tu, sina uelekeo wowote ule, nahitaji kampani ya pisi inayojitambua yenye IQ kubwa. Awe ana uwezo wa kunywa na kumeza mapande ya nyama. Muhimu tu, tuweze kufurahi...
5 Reactions
23 Replies
223 Views
Ushawahi kufikiria kama kuna sehemu wanaume wanakaa kisha wanawake wanakuja kuwanunua? sio lazima iwe tz, nauliza hata globaly, hili suala lipo kweli?
6 Reactions
65 Replies
1K Views
Huwa sina tabia ya kujipost status, Facebook, au Instagram lakini ikitokea nimebahatisha picha moja kali siwezi kutulia nayo kwenye simu. Sasa wakuu naombeni caption kali ambayo ipo neutral na...
4 Reactions
7 Replies
172 Views
Kipi kipo kijijini ambacho hakipo mjini? Na wewe wa mjini kipi kipo huko ambacho hakipo huku kijijini?
1 Reactions
4 Replies
117 Views
Ni swali la kawaida. Avoid negative interpretation!!! 1.
3 Reactions
15 Replies
211 Views
Jisamehe kwa kukaa muda mrefu wakati ulipaswa kuondoka ...
71 Reactions
1K Replies
50K Views
Mzee MWENYE gari aina ya land cruiser 70 hardtop lc78. ALIKUWA mwanasheria nguli, alipiga hela sana MIAKA hiyo basi bhana ALIKUWA na tabia yake mbaya SIJUI nzuri. Mzee ALIKUWA anang'oa viti...
6 Reactions
17 Replies
376 Views
Check comment 👇🤣😅
5 Reactions
33 Replies
560 Views
Kuna namna wazazi wa kiswahili au uswahilini huwa na majibu yao ambaye mengine yanachekesha, kukera au walivurugwa zaidi hujibu bila kushirikisha ubongo yaani kutumia lugha nyeusi. Mfano...
4 Reactions
7 Replies
226 Views
Ramdhani kareem
6 Reactions
20 Replies
325 Views
Akili nyingi ni kufanya kitu ambacho wengine wote wameshindwa kufanya, ila wewe ukaweza kufanya na kikaonekana. Iwe ni kwenye teknolojia, biashara, maamuzi magumu n.k...
4 Reactions
27 Replies
359 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…