JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimrudishie nini Bwana kwa ukarimu wake wote alionitendea? Nitakipokea kikombe cha wokovu na kuitangaza amani ya Bwana kwa neno lake, Zaburi 116:12. Mungu wangu u mwaminifu sana kwangu hata sasa...
13 Reactions
11 Replies
937 Views
Wakinadada mkija bar hasa ya kwangu iko Msamvu, msitumie toilet paper, tumieni flash water ya kupump na mkono!
4 Reactions
16 Replies
905 Views
Mimi naanza na hawa wafuatao: Waziri Angella Kairuki na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwogelo Marehemu Ephraim Kibonde na Mshambuliaji wa Simba SC Meddie Kagere Rais Dkt. Magufuli wa...
3 Reactions
77 Replies
7K Views
Binadamu mahitaji yake ya kila siku ni machache. Chakula Kulala sehemu Safi /makazi
1 Reactions
13 Replies
969 Views
Kumwagilia moyo huku kwa pembeni akiwepo mrembo machachari mwenye umbo namba nane, na mwenye rangi ya chungwa; kunanogesha sana uwepo wa kuwa hapa duniani. Natamani kwa leo, ajitokeze mrembo...
1 Reactions
31 Replies
932 Views
Niaje Wadau wa JamiiForums 1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi...
5 Reactions
53 Replies
12K Views
Japo kuwa nimekosa cocktail wengi hili neno ni geni ila nimepata kinywaji changu pendwa cha Windhoek za Kopo na nyama laini kama sufi, nyama tamu ya Moto Kahama nzima ukitaka kurelax nenda the...
7 Reactions
75 Replies
4K Views
Mungu baba tusamehe tumelewa hii Dunia kuna watu wanakeraaaaa! Wanangu eeeh kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa au wewe ukifanikiwa nini napungukiwa? Kumbe siku hizi wachawi sio wazee! Daaah...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mwanaume anayejua kutumia pesa. Namaanisha kutumia pesa yaani hela, siyo unampeleka mtu bar anakunywa vibia viwili tayari kalewa, au unampeleka shopping anachagua kakadet ka sh40elf hapo yeye...
9 Reactions
149 Replies
15K Views
Baada ya pilka pilka pamoja na miki kiki ya hapa na pale ya maandaliz ya kristmas ya mwaka 2022 nilifika homu hoi. Ilikuwa tarehe 24 December jioni kristmas iyo inajongea. Joto lilikuwa kali...
4 Reactions
7 Replies
466 Views
Katika maisha shule kunakuwa kuwa na changamoto mbalimbali hasa tuliosoma shule za St kayumba mm nakumbuka baada ya kumaliza shule ya sekondari .Nilibahatika kufaulu na kupangiwa kuendelea na...
6 Reactions
82 Replies
12K Views
Tupendane wadau wa humu tuache majungu. Maisha haya ni mafupi tupeane faraja na kushauriana mambo yakujenga sio kubomoa . Unaweza kuwatag watu Fulani ila ukiwa nashida wao wanakuacha Matani...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Hello 👋 Hiyo ndio hashtag mpya kwa Sasa, wale wa #kataa ndoa Karibuni 🙏
10 Reactions
70 Replies
3K Views
Hellow naomba kujua bei ya massage ya mwili mwili wote unauma ase
2 Reactions
34 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=fbDYrOxtrWk
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Mbwa ukiona anapenda kulamba binadamu sababu kinachomvutia ni mifupa yako iliyoko ndani si kingine.
0 Reactions
2 Replies
472 Views
Kristo Leo ni Jumatano ya majivu ambapo kwaresima inaanza rasmi kwa mwaka 2023 mimi nitaenda St Peter Oysterbay kusali. Wewe utakuwa Kanisa gani?
8 Reactions
70 Replies
5K Views
Una rafiki yako, je, ni haki kuwa na no za simu za mpenzi wako? Man au mpenzi wako kuwa na namba za rafiki yako? [emoji736][emoji736]
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Maana naona vijana wengi wamekuwa walevi wa vilevi mbali mbali kama bangi, mirungi, pombe shisha na nk. Tatizo ni nini?
2 Reactions
9 Replies
566 Views
Wangapi hapa tumeenda sawa? Vitabu vimeandika mwanamke marufuku kutoa sauti ya juu kwa mwanaume, sasa inakuwaje mwanamke anakukoromea?
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Back
Top Bottom