JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ukiona tajiri anatoa siri za mafanikio, basi jua ni FAKE. Na ukiona mtu anakupa siri za kutoboa, basi jua na yeye hajatoboa, na ni mtafutaji kama wewe. Mwenye akili na aelewe! Usiku mwema.!!
0 Reactions
2 Replies
311 Views
Morng guys Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa...
11 Reactions
111 Replies
4K Views
Kwanza nianze na salamu. N.k.j.j.m.w. Hii tabia ni mbaya Sana. Wanaume wetu wanateseka Sana wanapojua wamechapiwa. Wengine huamua kuchukua hatua mbalimbali zikiwemo za kichawi. Kumtoa MTU...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk 😂😂😂 Nchi hii imepitia...
4 Reactions
8 Replies
833 Views
Niulizeni chochote kile mnachofikiria kunihusu mimi nitawajibu
1 Reactions
5 Replies
425 Views
Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku. Mwenye...
2 Reactions
226 Replies
11K Views
Nipo kwenye daladala hapa Buguruni Makumbusho. Kuna mabishano kati ya konda na abiria kuhusu yupi bora kati ya mvuta sigara na mnywa pombe. Konda anasema mvuta sigara ni bora maana akishavuta...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Nasikia Yanga watacheza na Bamako siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi 2023, sijaelewa kwann CAF waipange mechi hii ngumu siku ya wanawake. Wadau mnisaidie
0 Reactions
10 Replies
983 Views
Sijajua umetumia idea gani kuchagua ID yako, Ila tambua unatumia ID fake, lakini uwepo wako humu ni real, na yale yote utakayo sema humu, yatakuwa yanawakilisha uhalisia wako. So behave well...
34 Reactions
56 Replies
4K Views
Habari! Jamaa yuko wapi ? Kimya sana
0 Reactions
13 Replies
552 Views
Jamani kesho ndiyo itakuwa mara yangu ya kwanza kupanda daladala. Nipeni kanuni
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Mimi huwa nachukia pombe na sigara sasa leo nimehisi halufu ya sigara mzuri achana na hizi wanazo vuta vijiwe vya kahawa je hizi hazi madhara?
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Unafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata...
10 Reactions
147 Replies
4K Views
Natumai mu wazima sana, Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'? Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
6 Reactions
135 Replies
6K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari kinajieleza na picha imeambatanishwa mwamba aktubu na Padre kainama kashika kichwa huku kainama mawazo kibao! Unahisi kafanya dhambi gani ya ajabu...
0 Reactions
7 Replies
650 Views
Haijalishi weee hapa tunazunguzmia Mfyooonyo yaani unasikia mfyuuuuu mtu katoa yake na imevutwa kama mpira wa manati, yaani inaanza mbali na ikimalizika lazima utaona cha mtema kuni😂 🤪Wee acha...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Mfanyabiashara maarufu kijana jijini Mwanza anaingia katika orodha ya Watanzania wachache nchini na labda pia anaweza kuwa kati ya watu wawili watatu wasio na asili ya Kiasia kumiliki ndege...
10 Reactions
96 Replies
10K Views
Wajameni nina swali. Who is the smartest person on JF? Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote. Nataka nimjue kipanga wetu.
3 Reactions
137 Replies
6K Views
Back
Top Bottom