JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
. “Know life is just a game in which the cards are facing down. I’m in the world where things are taken, never given how long they choose to love you will never be your decision.”
1 Reactions
2 Replies
304 Views
Inasikitisha nakufurahisha ahahhahaa Tunapiga chenga Watoto wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23] Dah Nlikuwa nataka niende Kanisani January hii ila wacha niende March. [emoji23] Sent from my...
2 Reactions
3 Replies
572 Views
Jf udaku baada ya uchunguzi wa kina imegundua kuwa hizi kapo: sosoliso na Paloma.....kapo feki hii Arushaone na Lady doctor.....hakuna cha ndoa wala nini,hata kwa sura hawajuani...
11 Reactions
187 Replies
11K Views
Mimi weekend yangu inaenda ivyo. Sina jambo kwa mchumba
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Unahisi nazungumzia pombe or wanawake! No, duniani Kuna vitu vina addiction hujawahi ona. Mimi mfano kuna jamaa Zangu wana mabasi ukiwaambia kuhusu scania hawakwambia kitu. Unaijua kadhia ya...
20 Reactions
128 Replies
6K Views
Naanza mimi; ~ Neno "Sanamu la Michelin" sijalisikia kitambo. ~ Jarida la Tamasha, Bongo. ~ ChemiCola na black current. Katuni ya mapung'o
2 Reactions
90 Replies
13K Views
Kuna majina ukiyasikia tu unaona hili linawakilisha mamlaka. Yaani jina linakuwa na nguvu ndani yake. Umewahi sikia jina gani la mtanzania ukasema hili linasound kimamlaka na nguvu hasa? 1...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu wazima nyie Kuna jamaa humu ndani ananishangaza sana yaani yeye kila post ana dislike. Huyu jamaa anajiita sijui mdudu gani hapo. Kila uzi yeye reaction yake ni dislike tu. Huyu mwamba...
11 Reactions
93 Replies
4K Views
TBC HABARI 2030: Ndugu Tundu Lissu aapishwa kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa rais wa kwanza kuongoza nchi hii kutoka chama cha Upinzani. GAZETI LA MWANASPOTI 2054: ujeruman...
7 Reactions
15 Replies
878 Views
Baada ya kuweka malengo ya kutopiga puli, wazee Leo siku ya pili aisee nipo kwenye maumivu Makali sana yani akili yote inataka iyo kitu Aisee. Lengo la huu mwaka naona nakwenda kulivunja.
6 Reactions
66 Replies
3K Views
Muwe na Weekend Njema na MAADUI zetu tafadhalini msiache Kutuchukia akina GENTAMYCINE. Kudadadeki.....!!
3 Reactions
2 Replies
592 Views
"Ingawa mioyo yetu inapitia maporomoko. 💔➡️❤️ [" #UpendoWetuNiMuhimu"] , Lakini Kuna Siku ambazo moyo unahisi uzito wa yale yote unayo yapitia katika maisha, iwe katika utafutaji wa kifedha...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwenu; Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo. Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje. Maono...
5 Reactions
119 Replies
5K Views
Juzi wakati nikitoka Kaliua kwenda Mpanda katika kuchimba madini tulikatiza mto Ugalla. Wenyeji wa maeneo hayo walinipa taarifa kuhusu malkia wa Ugalla anayekaa ndani ya mto Ugalla. Malkia...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Aisee najisikia uvivu sana, bado had saizi nimelala 11:42 NB:plz usilete vitu serious! Easy “”HUU UZI NA KWA AJILI YA KUREFRESH, KKUPIGA STORY NA MASIHARA”” EASY EASY EASY
5 Reactions
128 Replies
5K Views
Heri ya Mwaka wakuu nimeikuta mahali ina ukweli hii
1 Reactions
1 Replies
338 Views
Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
9 Reactions
191 Replies
13K Views
Mikoa niliyo bahatika kukanyaga aridhi yake kuishi na hata kwa kupita tu ni, 1 Singida 2 Tabora 3 Kigoma 4 Dodoma 5 Manyara 6 Morogoro 7 Pwani 8 Dar 9Tanga 10 Kilimanjaro 11Arusha Kuna mikoa...
8 Reactions
91 Replies
3K Views
Wakuu Amani iwe nanyi? Kuna swala lipo kidogo linachanganya yani ipo hivi pande flani ninapokaa mimi kwa pembeni kuna flame ya kuunza pombe niseme ni ya kienyeji maana wanatengenezea ndizi mbivu...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…