JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Amekuja na mtoto geto harafu mchizi anadhani ntajiongeza nitoke nje, na huko nje kwenyewe Kuna mvua nani anataka nikaloe nje otikiii😬 nasemaje Leo ndo Leo🤨
7 Reactions
13 Replies
724 Views
Wakuu samahani, Kuna father mmoja nina kaundugu nae, amewai kuwa mtumishi wa serikali sekta ya usalama wa raia na mali zao. Sasa juzi amepata msiba, nikampigia simu kumpa pole, cha ajabu...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Tuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Bwana Yesu asifiwe kwa wale wenzangu na mimi. Wengine habari zenu? Ninapoelekea kutimiza miongo kadhaa ya kuwepo hapa duniani nimejikuta natafakari maisha yangu tangu pale nilipoanza kupata akili...
58 Reactions
637 Replies
66K Views
Wana Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani GENTAMYCINE nasema kwa Heshima, Unyenyekevu na Taadhima kubwa sana kwenu kuwa Hodi Hodi na Hodi tena kwa mara ya Tatu. Sasa tutakuwa pamoja kwa Shida na Raha...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Hili kundi linaandamwa sana aisee. Haya yana ukweli au ni wivu tu?
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Pamoja na umahiri wao redioni, kuna sehemu fulani katika maisha wanaitendea haki ipasavyo. Je, ni sehemu gani iyoo[emoji28][emoji28]
2 Reactions
18 Replies
949 Views
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini) Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana...
3 Reactions
12 Replies
613 Views
Kwa masikitiko makubwa ninakuandikia waraka huu,kwa jina ninaitwa bishanga abashaija mkazi wa Chole road , kwenye li apartment masaki.Ninaendesha vx new model na akaunti yangu iko citibank na...
23 Reactions
463 Replies
23K Views
I think everyone should experience this at least once in their lifetime.
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Jirani angu ameomba nigoogle mtandaoni kalenda ya daku mwezi huu wa ramadhani lakini inanipa mashaka hii kalenda. Kama vile kumekucha sana, inaonesha saa 5:17 am (saa kumi na moja na dk 17...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Miezi ya hivi karibuni mwenzangu amekuwa busy sna na hii kitu na mimi binafsi sina ufahamu kuhusu matumizi yake Hebu tirirkeni hpa wakuu abc za huu mtandao angalau nijue kwa uchache maana nisije...
2 Reactions
16 Replies
676 Views
Hapo Tofauti na “Visa” neno gani lingine umeliona?
1 Reactions
10 Replies
526 Views
Dada zetu huwaambii kitu kuhusu wanaume wenye miili hii ya kujengeka. Au nakosea dada zangu?
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hawa machawa wakiongozwa na chawa mkuu Mwijaku wanafanya mji unachangamka sana yaani hii style ya kusifia watu wazito na vimisemo misemo flani hivi...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Hebu tujaribu udadisi huu kidogo. Mimi nilizaaliwa miaka kadhaa iliyopita leo nimegundua siku na tarehe zimejirudia ila mwaka na mwezi ni tofauti; je, ndugu zangu mnajua nimezaliwa mwaka gani...
0 Reactions
17 Replies
735 Views
SHARUBU; Kuna Shabiki wa Yanga humo Nije ????😄🤣🤪😆😄 WATALII; Hapana Mkuu, Sisi ni Mashabiki wa MAMELOD tumetoka Nchi za Mbali, tumekuja kuliamsha Dude kwa Mkapa tarehe 30 dhidi ya Hao Yanga...
2 Reactions
1 Replies
256 Views
Wakati huo wimbo huo unatoka (y tony-masebene) nilikuwa ni playboy kiukweli.....kwahiyo nilikuwa sielewi nni kimeimbwa humo.. Ila baada ya kuhamia timu WAPENDANAO ..nimeanza kuelewa maana...
3 Reactions
4 Replies
890 Views
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa. Kisa cha mganga: nilikwenda kwa mganga...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…