JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni ushauri tu kwa ndugu zetu Chadema wazee wa Chopa Kutokana na mabadiliko ya Tabia nchi Chopa siyo za kuziamini tena Tunawapenda nyote Mlale Unono 😀
3 Reactions
10 Replies
387 Views
Jf salaam. Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia. Kwahiyo kama...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
1. Box Jelly Fish 2. King Cobra 3. Blue Ringed Octopus 4. Marbled Cone Snail 5. Stone Fish 6. Death Stalker Scorpion 7. Inland Taipan 8. Brazilian Wandering Spider...
3 Reactions
59 Replies
12K Views
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani. Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo...
1 Reactions
5 Replies
801 Views
Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini. Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
my name is Yohana, a young man and I am twenty one years old. I have many big dreams in my life, although my dreams are many, but they are all about my success when I was very young. At the age...
1 Reactions
10 Replies
664 Views
Hii ya Jana nimeipenda mheshimiwa. Tunakushukuru Waziri wa habari Kwa kutuhabarisha, maisha hayataki complications.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika Kila mtaa hua Kuna mtu mmoja ke au me anakua na umaarufu Mkubwa Sana na nguvu ya ushawishi either kwa mabaya au mazuri. Anaweza kua mcheza mpira, kibaka, Malaya, bondia, mwanasiasa...
3 Reactions
6 Replies
743 Views
Popote ulipo pokea salaam,rudi kwenye kituo chako cha kazi🤣🤣🤣 Kambi ni popote mkuu uwalimu ni wito
4 Reactions
16 Replies
749 Views
Habari za mwisho wa weekend wanajamii. Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe. Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
Binaadamu tunatofautiana katika uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku Kwa Upande wa usafi wa mashuka, wapo wanaolalia siku moja , wengine kila baada ya wiki , wengine wanaenda mbali zaidi mpaka...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za jioni wanaJF, kwanza nitangulie kusema sina mgogoro wowote wa kifamilia, kuhusu kazi sio mwajiriwa ni mchakalikaji wa mtaani, sina madeni ya kutisha ambayo may be yanaweza kunipa stress...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. .. 2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati...
22 Reactions
93 Replies
6K Views
Chabo vyuoni wanaita deo, yaani nimeleta wapangaji hawana miezi miwili ikifika saa sita naanza kuhondomola shemeji yenu nasikia kama panya anakwaruza ukuta. Mwanzo nkavumilia nkahisi pakaa sasa...
0 Reactions
13 Replies
850 Views
Ilikuwa nishuke kituo A ila hakuna tatizo hata nikishukua kituo B au C
7 Reactions
18 Replies
741 Views
Hawa jamaa wanaotengeneza meme huwa wana waza nini?😅😅😅
34 Reactions
73 Replies
4K Views
Kukata gogo ni moja ya kutoa uchafu mwilini. Katika mambo ya kiroho kukata gogo ni moja ya kutoa mikosi, nuksi na majanga katika mwili wa binafamu. Kwa maana hiyo watu tunashauriwa usipendelee...
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Tafadhali, Usifungue kama ukoo chiini ya miaka 18 🔞 unaweza cheka ukakosa nguvu.
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Back
Top Bottom