JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nasikia alisitisha zoezi baada ya ule mti wake kukauka au kwisha,sasa ningependa kujua 1.bado tu haujaota tenaa?? 2.Na saizi ana deal gani?? 3.kuna mtu mwenye namba zake nataka anifundishe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii pesa kama ni wewe inaishia kwenye nini na nini
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mimi kwa sasa ni babu,mara nyingi hupenda kutembea kwa miguu,umbali mrefu, Sasa njiani huwa nakutana na wanafunzi ambao hunifatilisha navyotembea huku wananiambia we babu shikamoo,basi naitika...
0 Reactions
1 Replies
295 Views
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi. Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Siku iko aje.... Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe...
5 Reactions
41 Replies
2K Views
Cross Examination Day; Wakili: Mhe. Mkuu wa Wilaya ijuze mahakama kiwango chako cha elimu. Mkuu wa Wilaya: Shahada Wakili: Ieleze mahakama majukumu yako kwa kifupi Mkuu wa Wilaya: Mwakilishi...
3 Reactions
11 Replies
850 Views
Nakumbuka tulikuwa high na ilikuwa inanyongwa nyingine, bapa moja chali na lilikuwa limeagizwa lingine na maji kubwa, na tukiwa high tunautazama ulimwengu kwa chini. Soga za hapa na pale ila hii...
0 Reactions
4 Replies
378 Views
Nazungumzia kama vile umegusa upupu au mmea au mdudu yeyote anayewasha halafu ukaamua kuwa katili kwa kutojiwasha. Nini kitakutokea?!!! Karibuni kwa michango🙏🙏🙏
2 Reactions
12 Replies
533 Views
LEO natimiza post ya 1000 ndani ya jf kwa siku 58 tangu nimejiunga. Najua ambavyo post zangu zo ni kichefuchefu kwa members wengi humu. Lakini mie ni kilaza najijua. So huwa naandika kwanza...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
HAPPY BIRTHDAY TO ME........ Nawapenda Ndugu zangu wana Jf karibuni tukate keki[emoji512]
6 Reactions
27 Replies
2K Views
MMESHAELEWA, NIANDIKE KIPI ZAIDI??
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Leo tu kumenuka Dar, Mbeya, Manyara........................ FFU wameshindwa sasa JW wanatumika. Amani tena ipo wapi hapa......... Hakuna Amani tena!! Hizi ni dalili za ukombozi zimewadia!!
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Msikilize
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Mimi kusema kweli ni huyu mwamba in early 2000s (2001 na 2002) haha hadi nikawa napiga cross kama yeye tukicheza sodo.
4 Reactions
13 Replies
635 Views
Ramani ya Tanzania ya mwaka 1956 ikionyesha Makabila. Kama huoni kabila lako tafadhali tafuta vibali vya kuishi nchini.😂 i
2 Reactions
2 Replies
363 Views
Wasee mko musuri! Mada iko open, taja mambo unayoyakumbuka makubwa ya kipekee uliyowahi kuyafanya utotomi mpka wazazi au wakubwa kiujumla wakajivunia wewe. Nianze namimi. 1. Nakumbuka hili...
3 Reactions
14 Replies
728 Views
Asalam aleikhum. Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali. Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye...
42 Reactions
222 Replies
23K Views
Napenda niwape kwanza salamu toka kwa Mark Twain Gerald jamaa yangu toka Finland. Nilikuwa huko nmerudi siku chache zilizopita. Huwa anapenda kuingia ingia JF asome threads za English acheke sana...
41 Reactions
55 Replies
6K Views
Mke na mume walifikia maamuzi ya pamoja kujiua (committing suicide) baada ya kupitia katika nyakati ngumu za maisha yao pamoja. Hivyo wakaamua kujirusha kutoka juu ya jengo lenye ghorofa 20...
7 Reactions
17 Replies
700 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…