JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hiki kigari kidogo cha joto kisichokuwa hata na airbag wala accident proof measures za msingi kama automatic turn signal na object detectors CHA AJABU huku nyuma kameandikwa IST na natamani sio...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
wakuu,, Kuna manzi inasema niitumie nauli ije kutoka mko x! Nawasiwasi isije nizima. Mbinu gan nitumie asile nauli wala nikimkatia tiket asiuze
1 Reactions
6 Replies
447 Views
Mimi nimemmisi siku hizi amekuwa adimu Vipi nyie hamjammisi?
4 Reactions
27 Replies
773 Views
Hapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori 1. Kuvaa Yebo na soksi Hapa usiulize sana 2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata...
12 Reactions
130 Replies
3K Views
Habari wakuu, Siku mbili nyuma nilikua safarini kutoka mkoa x kuja mkoa y. Safari yangu niliianza majira ya saa 1 jioni kwa usafiri wa bus. Sasa kuna mtu tena mmama nilikua nimekaa nae siti moja...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Kula vizuri hasa mbogamboga na matunda ,kunywa maji ya kutosha ,lala inavyotakiwa , kama una hofu au mawazo jitahidi kuviepuka ukizingatia hivi huondoa ngozi kusinyaaa na kuifanya iwe na nuru Ila...
8 Reactions
13 Replies
951 Views
Habari za muda huu Wana JF! Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe. Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe...
10 Reactions
141 Replies
3K Views
Kama wewe mtaalam wa chocho na machimbo ya Kigoma. Nipe hizi code Wapi napata 1.Supu nzuri ya samakiiii mkubwaaa😋 2.Kuku chomaaa wa kueleweka😋 3.Kitimoto maridadi kabisa😋 4.Ugali wa lowa😋
0 Reactions
4 Replies
482 Views
Unaambiwa analia sana huko Serengeti anataka kuja Yanga, anadai Mbappe na Halland pia wanaomba nafasi jangwani. Hatahivyo uchambuzi wa kihasibu unasema kuwachukua ni hasara kwani wataishia benchi...
2 Reactions
11 Replies
662 Views
Heri ya siku yakuzaliwa rafiki yetu,mwana chit chat na MMU mwenzetu yna2 Mungu akupe maisha marefu shemela
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwa kweli nina hoja na mambo mengi ya kupost katika JF ila sioni sehemu ya kupost! Is it because am using a phone or what is the problem?
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda...
5 Reactions
19 Replies
736 Views
Inaonekana yule Steve msemaji wa waigizaji amemchapa Haji Manara na hapa anapewa pongezi. Tupate habari kamili. Kutoka kwa Jemedari Said
1 Reactions
3 Replies
513 Views
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee! Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni. Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe...
21 Reactions
491 Replies
36K Views
Kuanzia sasa hakuna tena hela ya kutolea unapo mtumia mwanamke hela,akitaka hela kamili afuate geto Kuna vifungu viwili vya uhaini vimeongezwa,ila nakumbuka kimoja tu,mwanao akitaka kuazima geto...
13 Reactions
39 Replies
2K Views
Umebakia ule mshahara wa mwezi desemba. Tokea jana watu ni kuweka heshima na kumaliza kila kitu, kila ukiagiza unaambiwa kuna foleni ama vimekwisha. Tuonane Njaanuary 2025 kipindi cha kausha...
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Kama ulikua huyajui maajabu ya MWANAMKE wacha nikufahamishe;- 1) Ubongo wa mwanamke unafanyakazi haraka kuliko wa mwanaume. 2) Kila mwanamke anaamini kwamba mwanaume ndio anaanza kufa kuliko...
19 Reactions
123 Replies
8K Views
Ukitaka kujua akili ta watanzania wengi ilivyo na shida, subiri foleni. Yani kuna foleni badala watu wakae kwenye line yao wanahamia kwenye line ya magari yanayoelekea uelekeo mwingine. Mwishowe...
3 Reactions
2 Replies
354 Views
Back
Top Bottom