JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Binafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100. Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi. ilikuwa nimeelekea msibani na...
24 Reactions
274 Replies
22K Views
Mko poa bila shaka Kiswahili fasaha ni kipi au neno sahihi ni lipi 1. Ndiyo Au 2. Ndio Lipi neno sahihi
2 Reactions
67 Replies
3K Views
This is for you Kasie ... A best friend ever[emoji173][emoji173][emoji173]
6 Reactions
37 Replies
2K Views
The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy . Let your life be filled with health love strength success and passion. Wish you more years of happiness and...
37 Reactions
535 Replies
14K Views
Kuna mbibi humu watoto wa jana hamumjui kabisa yaani akianza kusifia jinsi alivyokunwa utapenda. Yupo wapi huyu bibi jamani asiyezeeka? Popote ulipo bibi tumekumisi na stori zako za kusifia...
2 Reactions
14 Replies
875 Views
Ukitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ” Huwa unajibu nini? Na unachukua hatua gani?
3 Reactions
22 Replies
873 Views
Igunga kesho dakika za jioooooniiii kabisa nitakuwa hapo. Baada ya kupata fedha zangu za mauzo ya korosho (mnada wa kwanza na choma choma) Nimeona ni Bora nitembelee Igunga mahali ambapo...
0 Reactions
0 Replies
283 Views
Ili kuepusha kuharibu nyuzi nyingine kama ambavyo imekuwa ikitokea katika majukwaa mbali mbali Sasa rasmi huu ndo Uzi wenu wambea wa jf na nje ya JF. Kwa umbea Wa ndani au hata nje ya JF...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
Zamani nilidhani mambo yako simple kumbe ni magumu sana, sikujua uhalisia 1. Kufika South Africa Zamani tuliamini South Africa ni hapo tu bondeni, Yaani life likibana hapa Kwa Nyerere ni chap...
2 Reactions
6 Replies
474 Views
😆 Just imagine sasa hivi umri ulionao mwaka 2070 utakuwa na miaka mingapi? Kizazi cha 1990 mpaka 1999 ndio watakuwa wazee wa busara 😀 HALI ITAKAVYOKUWA Enzi zetu kulikuwa na msanii anaitwa...
3 Reactions
9 Replies
516 Views
http://1.bp.blogspot.com/-3n9zUDPKyT...ty-massage.gif Haya tena wadau wa JF. Baada ya kufanya utafiti wanakamati tumeona kwamba Kebby”s Hotel ndio kuna gharama nafuu na masharti yao sio magumu...
18 Reactions
258 Replies
15K Views
Mzuka wanajamvi. Tafiti za uhakika zimethibisha waziwai watu wengi wafupi wa kimo na wenye miili midogo duniani wanaongoza kwa maendeleo, utajiri, maendeleo, akili, mafanikio, uongozi pamoja na...
1 Reactions
17 Replies
841 Views
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu. Lakini tangu...
30 Reactions
105 Replies
6K Views
Leo nilikuwa kawe kwenye msiba wa Askofu Jonathan kwanza nilikuwa nahuzuni kweli moyoni. Mpaka pale alipo panda Askofu mkuu wa makanisa ya Calvary akatoa maneno ya kuchangamsha kusahaulisha...
2 Reactions
13 Replies
586 Views
Makamarade nimeona nianzishe huu Uzi ili kupeana uzoefu wa maisha ya Jela. Sisi wote ni wafungwa watarajiwa alijisemeaga magufuli. Sasa hebu tupeane mbinu maisha misamiati tamaduni taratibu za...
21 Reactions
140 Replies
13K Views
Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf 1 Labani...
36 Reactions
421 Replies
7K Views
Ifahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili 1) Kombolela 2) Mdako/nakwa 3) Rede 4) Nage 5) Tobo 6) Saga koboa 7) Ukuti ukuti 8) Kinyulinyuli 9) Visoda 10)...
6 Reactions
108 Replies
2K Views
miss chagga, Evelyn Salt, Heaven Sent na Madam B hawa wadada walinifanya nicreate accnt JF ili nije kupambana nao huko mnakokuita PM ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu Nanii alikufanya...
16 Reactions
225 Replies
9K Views
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana, Upambanaji upo na watu...
3 Reactions
15 Replies
895 Views
Wakuu heshima yenu. Nikiwa kama mtumiaji wa hicho kinywaji,nina malalamiko yangu kwa wahusika. Toka siku tatu au nne zilizopita kumekua na uhaba mkubwa wa safari lager chupa kubwa hapa Dar...
2 Reactions
45 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…