chizi mmoja alikuwa kazungukwa na watu wakimsikiliza,
chizi: mimi nashangaa kuona mtu anaibiwa nguo.
watu: sasa tufanyeje ili tusiibiwe nguo.
chizi.: ukitaka usiibiwe nguo njia ni rahisi tu...
I arrived in Dar Es Salaam safely. I traveled via Pricess Munna from Mwanza to Dar, and the journey was extremely tiring and not as exciting as i thought it would be.We left Mwanza at 6:05 in the...
Tafadhali husika na mada ya hapo juu.
Mimi ni kijana nisiezidi miaka 30 ni mwenyeji wa Zanzibar. Dhumuni la barua ni kukueleza tangu nipate kukufahamu kupitia Jf unaukosesha raha moyo wangu...
Leo nafungua thread ambayo kupitia hapa kila awezaye atatoa hoja ambayo ukiifanyia utafit ( to prove it... especially simple utafiti) utagundua kuna ukwel kuhusu hicho kitu!
Kwa kuanzia;
1...
kwa kizazi hiki cha leo imekuwa ni fashion kwa vijana kuanza testing ya kuishi kama mke na mume then baada ya kupata mimba ndipo inapowalazimisha kufunga pingu za maisha au kuvunja uhusiano kabisa...
Kwenye maisha ya uswahilini na pwani huwa kuna kashda za Pwani, kwa namna hiyo basi hapa nazungumzia Pwani kwa ujumla maneno ya waswahili wa pwani hunikosha sana na huwa kuntu tena pambee tena...
Mwalimu aliwaambia wanafunz
wajifanye ni wanajeshi
walioshirik vita ya Uganda
waandke insha isiyopungua
maneno 100 kuelezea Vita
ilivokuwa. Wakat wa kusahisha mwalimu akakuta mwanafunz
mmoja...
Ukiona umefungua topic hii ili ujifunze namna ya kutumia vocha za mitandao ya simu iliyotuka ujue wewe ni kati ya wanaopenda vya Bure ila sema haujijui tu.
So nimekusaidia ili ujijue kuwa...
NI STORI YA KWELI ILITOKEA MIAKA YA NYUMA SANA
watu walikuwa wakiangalia mwezi
mwandamo kwa ajili ya mfungo wa ramadhani,vijana kwa wazee.
mara mzee mmoja aliyekuwa anakaribia miaka mia...
A man went for HIV test on Saturday and they told him to come back on Monday to pic his results.On sunday he went to church and the pastor was praying and said "... may the things that you'll...
Kuna naibu waziri mmoja mwanamke kwenye serikali yetu ananivutia sana kwa swaga zake na urembo.
Jina la naibu waziri huyo ni Pindi Chana. Basi miye nikajisemea: Hebu ni-google picha yake.
Basi...
Huna uhakika wa kula na elfu moja pekee uliyonayo unaamua kuinywa kiroba-Ni maamuzi magumu.
Huna kitanda na unaamua kuoa-Hayo pia ni maamuzi magumu.
Huna uwezo wa kumlisha mkeo na unampa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.