Wakuu nimekutana na video inayosambaa kwa kasi sana mtandaoni ambapo wanaonekana John Mrema na John Mnyika, na Mrema akisikika kuwa atatoa maoni juu ya usafiri huo mara baada ya safari kukamilika lakini kinachonipa utata ni sauti inayosikika katika video hiyo baada ya Mrema ikisema viongozi hao wamesifia huduma za usafiri wa treni ya mwendokasi (SGR) na filamu ya royal tour wakati Mnyika na Mrema hawaonekani wakitoa maoni hayo, Je kuna ukweli wowote hapa?