Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hii tabia ya kuruhusu viwanja mwanzoni mwa msimu halafu baadaye kuvifungia wakati ligi inaendelea siyo jambo zuri. Wakishakagua uwanja na kuupitisha basi wangoje hadi msimu uishe ndipo wautolee...
3 Reactions
7 Replies
291 Views
01 February 2026 Stade Alphonse Massamba-Débat in Brazzaville Kutoka Uwanja wa Alphonse Massamba-Débat jijini Brazzaville, katika pambano muhimu la Kundi C la Kombe la Shirikisho la CAF. Katika...
0 Reactions
5 Replies
354 Views
Tayari katika Kundi tuna Alama 0 na Sisi ndiyo washika Mkia halafu bado tu Mipumbavu inasema Simba SC ina nafasi.
7 Reactions
39 Replies
963 Views
Hii mipira sio ya kuendekeza sana unaweza shangaa Pressure shinikizo la damu gafla limekuzamia kumwilii Naangalia yanayoendelea huko taifa kwa mkapa Sina hamu
3 Reactions
4 Replies
300 Views
Club ya Real Madrid ya Hispania imetangaza rasmi kuwa imefikia makubaliano ya kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano. Mbappe anajiunga na Real Madrid baada ya kucheza PSG kwa miaka...
5 Reactions
84 Replies
7K Views
  • Redirect
MATCH DAY Kikosi Cha Simba kinachoanza.
2 Reactions
Replies
Views
Hii ni siku ya tatu tangu nime deposit pesa kiasi cha Tsh80,000. Kwenye account yangu ya Pmbet.co.tz. Mpaka leo siku ya tatu bado kwenye account yangu sijaiona hyo pesa, kila nikiwapigia...
1 Reactions
6 Replies
265 Views
Chelsea made a big come back against Westham after scoring 3 goals in the second half. This win puts them at Number 4 in the premier league table with 40 points leaving Man United and Liverpool...
1 Reactions
4 Replies
281 Views
Wakuu Mnyonge mnyongeni haki yake apatiwe Captain mnasubiri akosee mumseme sana ila Pedro katokea kumuelewa sana . Licha ya kuwa na kiwango bora hivi karibuni leo Bakari alikuwa bora pia ngoja...
2 Reactions
3 Replies
254 Views
Chelsea’s manager, Liam Rosenior, says he should already be considered among the top five Premier League managers of all time.
4 Reactions
3 Replies
159 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akipiga penati kabla ya kuanza kwa mechi ya Mpira wa Miguu wakati wa Bunge-Azania Bonanza linalofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari ya John Merlini...
1 Reactions
3 Replies
271 Views
Teofimo kapigana mapambano 23. Kashinda 22 kapoteza 1 Shakur kapigana 24 kashinda zote. Mpambano unaanza saa 8:15 ahsubuhi hii. Mwenye link atuwekee hapa Utabiri wangu Lopez Huyu muhuni atashinda.
2 Reactions
1 Replies
114 Views
Fisi S.C ndo team pekee kutoka TZ kwenye group lake haina point hata moja. Ni aibu sana kwa Taifa. Na leo inaenda kuchabangwa tena uwanja wa Taifa kama kawa ikigawa furaha kwa wengine. Kwa kweli...
3 Reactions
10 Replies
253 Views
Na tokea ajue kuwa anaaminika haraka na Mashabiki Wapumbavu na Washamba wa Mpira wengi Klabuni basi nae ndiyo anawapeleka hivyo hivyo Kipumbavu Kipumbavu huku akiwadanganya kwa mengi tu...
4 Reactions
152 Replies
1K Views
Matchday ; Simba SC vs Mashujaa FC Tunaanzia tulipoishia. Nguvu Moja 💪 All the best Simba 🦁
2 Reactions
18 Replies
821 Views
Huyu mdau wa mpira anaonekana hali vizuri au ana ugonjwa. Lakini asemacho kinafikirisha sana.
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza kati ya Arsenal na Manchester United umeamalizika kwa ushindi kutoka kwa mashetani wekundu Man United wa goli tatu kwa mbili.
4 Reactions
28 Replies
888 Views
I still wonder why some people say that the champions league is better than the premier league. This premier league is the most tough, hardest and competitive leagues in the world. Victor...
2 Reactions
6 Replies
317 Views
Baada ya Sisco kushindikana katika madraft Tanzania nzima , leo saa 5 usiku Kuna pambano EXCLUSIVE Timu: Mkulima Vs Sisco(Confirmed ) Mdhamini: Boss Java Zawadi: 60,000 (Sisco anatakiwa azuie...
21 Reactions
690 Replies
49K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…