Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Rekodi ya 6–0 ya mwaka 1977 ni moja ya matukio makubwa na yenye kumbukumbu ya kudumu katika historia ya soka nchini Tanzania, hasa katika upinzani wa jadi kati ya klabu za Simba SC na Young...
0 Reactions
4 Replies
315 Views
Mpira unaletaga huzuni na kukata tamaa timu yako inaposhindwa. Pia mpira unaleta furaha na kuchangamsha. Video hapo chini inamuonesha Mlinzi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Liverpool Ibrahima...
1 Reactions
21 Replies
549 Views
Aisee hii timu muda wa kunifariji yenyewe ndio inanitesa.
12 Reactions
29 Replies
590 Views
Timu namba nane kwa ubora Afrika inaogopa mechi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tulijua mmejifunza ya msimu uliopita kumbe bado Mnaongozwa na wendawazimu ndo maama visababu vya nje ya uwanja...
3 Reactions
10 Replies
319 Views
  • Closed
Hivi mnataka GENTAMYCINE niwasaidieni vipi nyie Viongozi wa Simba SC? Kwanini mnanikera hivi kila tunapokaribia kucheza na Yanga SC? Nani aliyewaambieni kuwa Simba na Yanga wakielekea Kucheza...
2 Reactions
7 Replies
525 Views
Nakumbuka kipindi fulani watu walikuwa wanauita uwanja wa Benjamin Mkapa "Kwa Mchina" hadi akatokea mtu akasema watu wawe wazalendo wauite kwa jina lake halisi au walau wauite "Kwa Lupaso". Hivi...
5 Reactions
10 Replies
339 Views
Mtanange ukiwa unaendelea, mzani ushaanza Kuwaelemea Wenyeji. Mnyama yuko mbele kwa bao 2... Kipute kinaelekea halftime
0 Reactions
3 Replies
402 Views
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki wa yanga popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao ndani na nje ya nchi. Kusema na ukweli yanga...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Unaweza kudhani ni jambo la kawaida, lakini huu ni Mkakati Maalum. Timu hizi ni za Tanganyika n.a. washabiki n.a. wanachama wake kwa % kubwa ni Watanganyika, kupeleka Timu hizi Zanzibar ni...
9 Reactions
36 Replies
1K Views
Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Ingawa mkeka wangu leo kwa Yanga umelipa, ila nimefadhaishwa sana Yanga kuishia Makundi tena pamoja na kusakata kandana safi vile. Pamoja na kuwa kundi lao lilikuwa gumu sana, Yanga ilifanya...
7 Reactions
30 Replies
781 Views
Ligi kubwa duniani kama English Premier League (EPL) na LaLiga hazijawahi kuogopa sekta ya betting wala kuweka wazi kuwa Shirikisho la soka la FA litatafuta kampuni moja pekee kwa ajili ya michezo...
0 Reactions
7 Replies
484 Views
The Zimbabwean Chevrons remain unbeaten in Group B at the #T20WorldCup, showcasing grit, skill, and determination in every match. Fans are celebrating as the team continues its march toward the...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Kwa muda sasa nmekuwa nikiombea na kushiriki kwenye michango ya kazi chafu dhidi ya mikia. Kwenda kuwapiga misumali wachezaji wao na wengine kurubuniwa Simba ifanye vibaya. Nashukuru serikali...
8 Reactions
26 Replies
800 Views
Hapo vip! Ipo hivi Simba ndio mzaliwa wa kwanza wa soka au mpira wa football hapa Tanzania,Afrika mashariki na kati. Simba ndio timu peke iliyopo na ambaya imefika na kufauluvkuingia kwenye top...
5 Reactions
14 Replies
385 Views
Robo fainali CAF ya moto, Waarabu uhakika. https://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/robo-fainali-caf-yamoto-waarabu-uhakika-5362462
1 Reactions
0 Replies
245 Views
Ile damu iliopo ardhini bado inalia mpaka itendewe haki ndio mambo yatatulia. Na mwakani mwendo ndio huuhuu 👽 AZAM OUT 👽SIMBA OUT 👽YANGA (CCM DEPARTMENT OF SPORTS) OUT
5 Reactions
21 Replies
414 Views
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka kadhaa ya mafanikio ya kujivunia mfululizo, kukua kwa soka la Tanzania kimataifa hatimaye klabu zote nne zimeondoshwa hatua ya makundi na kushindwea kuendelea...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa kuipa Simba majibu ya kinachoendelea kuhusu mchakato wa mabadiliko ya mfumo...
5 Reactions
13 Replies
583 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…