Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Redirect
Morocco wameatangazwa washindi wa AFCON baada ya matokeo ya fainali kubadilishwa na CAF. Senegal wameazimiwa kuanguka mechi, na Morocco wamepewa ushindi wa 3-0 kama ilivyotolewa kwenye taarifa...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mujibu wa kanuni na mikataba ya uenyeji ya CAF, nchi inayopata nafasi ya kuandaa AFCON hulazimika kusaini makubaliano ya uenyeji yanayojumuisha majukumu mbalimbali ya kifedha. Miongoni mwa...
1 Reactions
7 Replies
426 Views
•Ibrahim Abdullah (Bacca) amepata jeraha la nyonga na atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha Wiki tatu • Laurindo Dilson (Depu) amepata majeraha ya nyama za paja na atakuwa nje ya uwanja kwa...
0 Reactions
7 Replies
348 Views
Una wachezaji watatu wa kiwango cha juu kwenye kiungo cha kati: Luka Modrić, Kevin De Bruyne na Toni Kroos. Unatakiwa kufanya maamuzi matatu: mmoja aanze kikosi cha kwanza, mmoja akae benchi na...
1 Reactions
5 Replies
287 Views
Klabu ya Chelsea yafungiwa kusajili wachezaji kwa kipindi cha mwaka mmoja, pamoja na kutozwa faini ya Pauni milioni 10.75 na Premier League kufuatia ukiukwaji wa kanuni za kifedha uliotokea wakati...
1 Reactions
4 Replies
428 Views
Pamoja na mechi ya Azam vs Yanga kutangazwa kuliko vita vya Iran lakini mwitikio wake imekuwa Duni mno, Hakuna watu uwanjani na Wala ufuatiliaji wake kwenye TV ni kiduchu mno. Wachunguzi wa Mambo...
16 Reactions
23 Replies
617 Views
Mradi huo unaojengwa Fumba kisiwani Unguja, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani milioni 150 (Sh388.8 bilioni za Tanzania) ambao unalenga kuvutia watalii watakaofika kushuhudia mashindano hayo...
1 Reactions
2 Replies
222 Views
Timu ya soka ya Azam leo inaikaribisha timu ya Yanga kwrnye mechi ya NBC PL kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
2 Reactions
30 Replies
2K Views
UPDATES 👇 Kikosi cha Young Africans kimegoma kuingia na Kukaa kwenye vyumba vya kubadilishia wakidai kuwa kuna harufu mbaya, inaelezwa Yanga SC wamepuliziwa dawa vyumbani. Yanga SC ni wageni...
1 Reactions
8 Replies
379 Views
One Word for Him?
10 Reactions
16 Replies
421 Views
Hii ni kweli kabisa shetani makazi yake ni kwenye betting. Shetani anasingiziwa mengi tu kwenye zinaa, mauaji, wizi n.k. Ila shetani makazi yake rasmi ni kwenye betting. Shetani ni mpuuzi sana...
9 Reactions
30 Replies
744 Views
Ni kipaji cha hali ya juu kama sio upendo wa agape. Niwapongeze mnaoenda uwanjani kuangalia mechi za usiku Mbarikiwe sana sana Mnaofunga mpoo uwanjan nanyi Comgola yenuuuu
1 Reactions
5 Replies
193 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema nyasi za Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kupandwa upya. Makonda amesema hayo leo wakati akizungumza na viongozi wa...
1 Reactions
9 Replies
265 Views
Utani wa Mwigulu Nchemba kwa Klabu ya Simba, "Sasa hivi hawana Mshambuliaji"
2 Reactions
2 Replies
369 Views
Kamari ni mchezo mgumu sana lakini angalau kwa mbali ni bora kucheza kamari ya kutabiri, mfano michezo ya kutabiri matokeo ya mpira, ukitabiri team flani ishinde, kila timu ifunge goli, n.k...
8 Reactions
6 Replies
417 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda (Mb) amesema Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu tayari imelipa takribani Dola za Marekani Milioni 32...
1 Reactions
13 Replies
628 Views
Waziri wa habari, sanaa,utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema kuna timu iliingia uwanja wa Benjamini Mkapa, ikachimba Nyasi za uwanja na kuweka dawa ambazo zimesababisha uwanja kuzalisha...
1 Reactions
21 Replies
560 Views
Mashabiki wanataka hela zao baada ya mechi ya TRA na Simba kuahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha huko Arusha. Askari wakaona njia pekee ya kutatua mgogoro huo wa mashabiki wameeanza...
8 Reactions
10 Replies
421 Views
Leo baada ya kupunwa na khanji ka laki kangu na kale katimu nikaamua niingie tu site nijue nimeliwa shingapi na kula shingapi ili nifanye maamuzi Nimeanzia kubeti 2019 mpaka kufikia siku ya Leo...
1 Reactions
30 Replies
858 Views
Hapa nani mkubwa kuzidi wenzie maana hapo hizo timu huwa sielewagi nani maarufu. Na yenye mashabiki wengi kuzidi zote hapo
1 Reactions
27 Replies
607 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…