Chelsea fans everywhere are happy that you can no longer score against their team.
When I played against Chelsea there was always a big motivation because it was a special game, it was always one...
Mshambuliaji nyota wa Liverpool, Fernando Torres ameitosa timu hiyo na kujiunga na timu ya Chelsea huku akiacha washabiki wengi wa Liverpool wakiwa na hasira juu yake wengine wakimaliza hasira zao...
haya wapenda teniss
Msimu ndo umeanza Na Australia Open iko siku ya pili
kwa wale wenye net safi unaweza kuona live kupitia ATDHE.Net - Watch Free Live Sports TV
na ukipenda kufutilia match...
Nikiwa mmoja wa wapenzi wa klabu yetu maarufu dya
nimeona si haba kuwekana sawa wapenzi wa klabu sasa timu inapoelekea ni aibu..yawwezekana ushindi wa sima umeigharimu hapa ilipo ama ni wachezaji...
Interesting Games X-mass hii..
Magic naona wamekeep the faith and have just succeeded to snatch away 14-0 streak ya Boston Celtics..it did n't look from the beginning lakini ndio hivyo revival ya...
Osasuna leo wamemchapa Real Madrid kwa bao 1 kwa nunge! Ronaldo, Kaka, Benzema, Adebayor wote ndani. Nadhani Jose Mourhino siku zake zinahesabika gap na Barcelona linazidi kuwa kubwa ni points 7...
Tanzaniasports have undertaken a review of the issues currently facing football in Tanzania:
Colonial legacy Tanzania is a British colony and this is one of the reasons why its football never...
nimeandika hii thread baada kuangalia mechi ya jana usiku katiya Barcelona na Hercules... kuna mchezaji anaitwa javier Mascherano huyu ni nahodha wa timu ya taifa ya Argentina aliyehamia barcelona...
BREKING NYUUUUZZZZZ: MCHEZAJI WA TWIGA STARS APATA TIMU UTURUKI
Asha with President of Turkey's Atasehir Belediyespor
Women's Football Club, Sadik Kayhan
Asha in her room at the team's...
Jana baada ya mechi ya simba na azam nilishuhudia baadhi ya wapenzi wa simba wakimtupia maneno ya kashifa goli kipa namba moja juma k. Juma kwamba amecheza chini ya kiwango ama ameuza mechi...
Sky Sports presenter Andy Gray has been sacked after he made sexist remarks about a female match official - and new evidence of "unacceptable behaviour" emerged.
Gray was initially disciplined...
Krav Maga
A practical and tactical system which teaches how to prevent, deal and overcome all kinds of violence and attacks. km prepares the trainees in the subjects of self-defense, self...
Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Arusha Football Club( AFC) inayoshiriki ligi ya Vodacom premium league unaeleza kuwa kuna wajanja wachache wanaonufaika sana na timu ambao kwa muonekano...
Kwa mujibu wa Michuzi blog
BREKING NYUUUUZZZZZ: MCHEZAJI WA TWIGA STARS APATA TIMU UTURUKI
Asha with President of Turkey's Atasehir Belediyespor
Women's Football Club, Sadik Kayhan...
Ndugu zangu wapenda soka hasa wale wanachama wa Simba na Yanga inatubidi tuwe makini sana katika maamuzi tunayoyafikia pale ambapo tunagusa maendeleo ya vilabu vyetu. mimi kwanza natoa sifa kubwa...