Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ikiwa TAKUKURU ni taasisi huru, tafadhali chukueni hatua juu ya malalamiko yanayoendelea kuibuka, kwani watu wengi hawaridhishwi na namna Bw. Wallace Karia anavyosimamia rasilimali fedha za TFF...
5 Reactions
8 Replies
514 Views
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, anasema kuwa Simba watacheza mchezo wa Darby tarehe 25 lakini pia tarehe 24 wataenda kufanya mazoezi na mbuzi tena beberu...
0 Reactions
13 Replies
595 Views
Ligi kuu tanzania bara itaendelea leo majira ya saa 10:00 jioni katika viwanja mbalimbali Mechi za Simba na Yanga kuamua hatma ya ubingwa.
3 Reactions
8 Replies
555 Views
Sasa kama mnadhani GENTAMYCINE ninatania endeleeni hivyo hivyo. Simba SC tangazeni haraka Kutoicheza hiyo Mechi.
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Sisi tunaishi katika dunia yetu. Mpaka leo ligi haijaisha😂 Wenzetu waliopo mbele ya muda wanaendelea na mambo yao. EPL washatoa ratiba ya msimu mpya wa ligi, August 15 ligi inaanza. Weekend...
0 Reactions
8 Replies
660 Views
Wakuu! Umesikia huko? 'Hatuchezi' imehamia Unyamani, waimba na Vigoma kama Noma na iwe Noma na sisi hatuchezi Tangu ilipotangazwa tarehe mpya ya Dabi ya Kariakoo Simba Sc hawajaonyesha nia ya...
0 Reactions
12 Replies
814 Views
Mimi napenda sana soka. Kuna uchaguzi wa TFF mwezi Agosti, 2025. Nawashauri wajumbe watakaomchagua Rais wa TFF wamchague Ally Mayay ili awe Rais kwa kipindi kijacho. Rais anayemaliza muda wake...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Nashauri uongozi wa Crown FM uchukue uamuzi mgumu hasa dhidi ya Hans ambaye anajionyesha wazi yuko kwenye payroll, na muda wote anajaribu kuonyesha anafanya retirement kwa wanaomlipa. Mwisho...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kilichotokea kipo kwenye mipango na wote wahusika wameshirikiana katika kutengeneza hili tukio, Simba na Yanga zinatumika na serikali katika kupumbaza watu, katika kupenyeza ajenda zao za kisiasa...
7 Reactions
47 Replies
2K Views
Kuhusu 25 June, wanasimba wote wanapaswa kujua mpira unaongozwa kwa sheria na kanuni,hivyo sisi kama taasisi ya mpira lazima tuheshimu kanuni na sheria. Niwatoe wasiwasi mchezo namba 184 klabu...
2 Reactions
15 Replies
748 Views
Simba wameachana na M Bet na wamesaini mkataba wa miaka mitano na Betway. Simba Wataungana na timu kubwa duniani kama manchester city,Arsenal,Atletico Madrid,West Ham united na Brighton...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Baada ya Mh Rais kuingiila utendaji wa TFF jambo lilopelekea baadhi ya viongozi wa bodi ya ligi kujiuzuru na wengine kufukuzwa sasa tusubiri kifungo kutoka FIFA Si...
7 Reactions
88 Replies
6K Views
Baada ya suluhu ya mgogoro wa derby huko Ikulu Dodoma umekuwepo mgogoro mkubwa kwenye timu ya Simba Bodi ya Simba na mdhamini mkuu Mo Dewji hawakufurahia uwakilishi wa viongozi wa Simba ambapo...
12 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari. Naona TFF wameanza kupata funzo muda si mrefu wametangaza kuhahirisha mechi. Na kwa muda huu wanaomba waandishi wa habari kuwasogezea vipaza sauti kwa mahojiano zaidi. Kwa maelezo zaidi...
6 Reactions
132 Replies
13K Views
I salute you kinsmen. Huko simba hali mbaya wakuu msionr hivi . Bundi ametua msimbazi! Kwa sasa tajiri amesusa na hataki kutoa lolote lile, chanzo ni hasa viongozi waliokwenda dodoma na kukubali...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Klabu ya Azam imekamilisha usajili wa kocha Florent Ibenge ambaye alikuwa anaifundisha klabu ya Al Hilal ya Sudan. Kilichosalia ni utambulisho rasmi tu. Azam inaendelea kujitafuta ili ifikie...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika kitu ambacho tunatakiwa kukifanya mwaka huu ni kuishitaki tanzania kuingiza siasa kwenye simba na yanga Ili nchi ifungiwe kwama Kenya ilivyofungiwa sasa twendeni Kwa wingi wetu tukacoment...
10 Reactions
176 Replies
5K Views
Kiungo mshambuliaji Yacuoba Sogne amefungua kesi TFF kuwashitaki Tabora United baada ya kuwa anadai mshahara miezi minne na pesa zilizobaki za usajili. Yacuoba Sogne Yupo Dar Es salaam.
1 Reactions
13 Replies
654 Views
Zile mbwembwe za muwekezaji wa jezi, kujenga uwanja, mabweni na Basi la kisasa zimeishia wapi? Misifa mingi na kujipa promotion. Hawa watu wanazitumia timu hizi kwa manufaa yao. Ahadi kibao...
3 Reactions
4 Replies
381 Views
Hapo vip! Simba ni club kubwa na bora barani Afrika na ni ya tano sasa kwa ukubwa barani Afrika.Hivyo ni club kubwa na bora no.1 Tanzania,Afrika mashariki na kati. Ni aibu kwa club ndogo kama...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…