<!--ThumbEnd-->
Hali ya joto jijini Dar, imekuwa neema kwa wafanyabiashara ya madafu kwa ajili ya kukata kiu na kuongeza virutubisho kadhaa mwilini. Pichani, muuza madafu akiwahudumia wateja...
Habari zisizo na shaka zinasema kuwa mashabiki hao, wengi wao wakiwa wa Klabu ya Simba, walivamia nyumbani kwa mnajimu huyo kwa lengo la kumrudi kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni kutoa...
Wanasiasa wa jiji la Roma wakionyesha nguo zao za ndani walipokuwa wakipinga sera ya Gianni Alemanno aliyegoma kupitisha bajeti ya mji huo.
Katika kile kinachoonyesha sasa wanasiasa wa nchini...
Ilikuwa ni siku ya jumapili ya tarehe saba mwezi wa pili, mida ya saa nne usiku tulikuwa tukitokea pande za tegeta kuelekea maeneo ya mwenge.
Tukiwa tumefika maeneo jirani na mbezi jogoo kuna gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.