babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,087
- 15,981
siwe muongo sijawahi
Unataka kuwambia watu kuwa wewe huna kwenu huko Vijijini ?silazima uwewe unaishi humo siku nenda siku rudi lakini unapokwenda vijijini kwenu kuna wazazi wa wazee wako ambao wanaishi katika nyumba kama hizo na unapowatembelea japo siku moja unabaki hapo kwa kuwajulia hali ,au wewe ndio miongoni mwa wale wanao kana makabila yao na lugha zao kwa kisingizio hawakelewi na wanaongea swahili (hafu)na kuishi mjini
hapa full AC mda wote no bill.BabuKijana ,acha uchokozi ndio nini kuwepa picha ya home kwangu hapa?
he he hee,mkuu lazima ukumbushwe maana mnajisahau sana mkijua kubonyeza keyboard.lakini juzi si ulitoka maeneo hayohayo kilosa ama?mode fungieni huyu mutu ananikumbusha machungu ya maisha yangu.
ni kweli mkuu nadhani aslimia kubwa sana vijijini maisha ndo hayo du.sio tumetoka mbali, bado tupo hapo!
Kuna watanzania wengi wanaishi maisha hayo