kuna mtu ana kumbukumbu hii ilikuwa wapi? mtoto ana mguu na anmwonea haya dr halafu mzee wa watu ni kama hana habari naye. naona kuna mzungu kapigwa butwaa naangalia kajishika mdono kwa mshangao...
mandugu Msaada Huu mtambo uko mbioni nauingiza mikoa yote....Mbege, Machozi ya Simba aka Sophia, Kaskazin, Nyanda za juu kusini, kanda ya ziwa, pwani, je itapokelewa vilivyo?