Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Je hayawani huyu kweli angepata bunduki angelipiza kisasi kwa wanaomuweka kwenye orodha ya viumbe walio kwenye hatari ya kutoweka? Je angeitumia kihayawani kama binadamu au kibinadamu kama hayawani? Je angeitumia kibinadamu japo hayawani? Je yawezekana siku moja hayawani akawa na uwezo na akili ya kumudu zana hii? Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje?
Why is that cat looking at me?