Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

Wadada msishinde kwa wachina kuongeza ukubwa wa sehemu za miili yenu especially makalio. Sisi wanaume hatutabiriki.
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Hapa Polepole alikuwa anawaza........ .
4 Reactions
21 Replies
5K Views
inatosha wiki mzima.
1 Reactions
4 Replies
873 Views
Meza ya kulia jikoni inafaa kwa matumizi ya familia ya kila siku, kama nyumba ni kubwa main dining inaweza kutumika kama watu ni wengi au kuna special event.
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibuni nami napata kitu cha mbege December hii lazima kieleweke yaani mwaka huu ni balaa Wacha tunywe mpaka tufurahi Karibuni tupate kitu cha mbege napenda mno asili yangu
7 Reactions
55 Replies
5K Views
Amazonian Tree with human sized leaves is finally classified as a new species: Scientists have known about this extremely rare tree for decades, but did not have any genetic material to describe...
7 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ndiyo simu tegemezi. Battery ladumu kudumu.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF! Hizo ni baadhi ya picha nilizopiga mimi mwenyewe katika mikoa mbali mbali hapa Tanzania na ninazozipenda wakati wote na zinafaa kwa wallpepar nasuburi uzi wenu wana JF Thank you🙏...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Awali ya yote na mshukuru mwenyezi mungu kwa kufikika mkoa kwenu, mm ni mwenyeji wa dar lakini nimefika mkoa huo Mara nyingi lakini Kila nikifika napataga mda wakuzunguka mkoa wenu , nimekua...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Hii imetokea Nigeria. Mlinzi wa bank alipata ujasiri na kumfikia Meneja wa Benki. Na kwa ujasiri akamwambia kwamba yeye ni mhitimu na angependa kushiriki katika "Aptitude test" kwa nafasi iliyo...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Dont get mad fellaz Be inspired. Anyways sisi ndio tupo.
1 Reactions
5 Replies
837 Views
Wanawake huku mlikofikia nadhani ni kubaya zaidi!!. This is too much!! #Usipobadilikatutakubadilisha #Tighabhatemwe
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni bili ya masaa machache tu, mtu anadaiwa milioni 23 na ushee kwenye vinywaji! Wewe ulishawahi kuletewa bili kubwa ya sh ngapi?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hongera Mama kuchaguliwa kuwa Karibu Mkuu Msaidizi UN
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimecheka sana, tik tok itawafanya vijana wawe wendawazimu. #Sipangwingwi Challenge(254)
0 Reactions
5 Replies
1K Views
picha ya kwanza ni waziri wa fedha wa zimbabwe akizindua dampo na picha ya pili ni viongozi wa serikali huko Namibia wakiwa kwenye mkutano ambapo ndani ya ukumbi walifuata taratibu za kujikinga na...
6 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom