Meza ya kulia jikoni inafaa kwa matumizi ya familia ya kila siku, kama nyumba ni kubwa main dining inaweza kutumika kama watu ni wengi au kuna special event.
Karibuni nami napata kitu cha mbege December hii lazima kieleweke yaani mwaka huu ni balaa
Wacha tunywe mpaka tufurahi
Karibuni tupate kitu cha mbege napenda mno asili yangu
Amazonian Tree with human sized leaves is finally classified as a new species:
Scientists have known about this extremely rare tree for decades, but did not have any genetic material to describe...
Habari wana JF!
Hizo ni baadhi ya picha nilizopiga mimi mwenyewe katika mikoa mbali mbali hapa Tanzania na ninazozipenda wakati wote na zinafaa kwa wallpepar nasuburi uzi wenu wana JF
Thank you🙏...
Awali ya yote na mshukuru mwenyezi mungu kwa kufikika mkoa kwenu, mm ni mwenyeji wa dar lakini nimefika mkoa huo Mara nyingi lakini Kila nikifika napataga mda wakuzunguka mkoa wenu , nimekua...
Hii imetokea Nigeria.
Mlinzi wa bank alipata ujasiri na kumfikia Meneja wa Benki.
Na kwa ujasiri akamwambia kwamba yeye ni mhitimu na angependa kushiriki katika "Aptitude test" kwa nafasi iliyo...
picha ya kwanza ni waziri wa fedha wa zimbabwe akizindua dampo na picha ya pili ni viongozi wa serikali huko Namibia wakiwa kwenye mkutano ambapo ndani ya ukumbi walifuata taratibu za kujikinga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.