Huko France kuna punguzo kubwa la flat tv, yaani bei ni euro 2 sawa na 4900 pesa za Kitanzania.Flat tv aina ya Samsung inchi 65.
Hapa Bongo bila ya zaidi ya milioni 3 hupati
Star mkubwa wa filamu duniani kwa sasa yupo kwenye mahaba mazito na kaka yake James Haven . Wawili hao wameyaweka wazi mahusiano yao bila hata aibu [emoji57]
'' Nampenda sana kaka yangu. Wewe ni...
Wakuu afadhali ungeundwa mfumo wa centra sewege system kwenye maeneo mapya. Haya mambo ya watu kufungua chamber za vyoo kipindi hiki cha mvua ni hatari kwa afya ya jamii.
Watoto wanachezea maji...
Tuache kuumizana ,kuuana kutekana kwa sababu tu ya vyeo vya Duniani au utajiri mdogo tulio nao.Tukumbuke kuna anayetupa pumzi anatusubiri.
Emilio Mwai Kibaki alipokuwa anamuaga Daniel Toroitich...
Sikiliza hiyo documentary hapo chini kutoka 7 NEWS Spotlight TV; kupitia kipindi chao kimoja ambacho huwa wanarusha Jumapili usiku kinachoitwa SUNDAY NIGHT TRUE STORIES
UPDATES:
=====
Moderator: Hii thread Imefungwa kwa sababu Sheria za Tanzania na Kanuni Mpya za Maudhui 2020, haziruhusu Mijadala kama hii. Asante
Hii thread ni vyura kwenda mbele tu wazee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.