JS Dairy Farm
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 300
- 641
Tuache kuumizana ,kuuana kutekana kwa sababu tu ya vyeo vya Duniani au utajiri mdogo tulio nao.Tukumbuke kuna anayetupa pumzi anatusubiri.
Emilio Mwai Kibaki alipokuwa anamuaga Daniel Toroitich Arap Moi na Emilio Mwai Kibaki akiwa amelala katika wafu.
Wakati wa urais wa Moi ,redio ya Kenya KBC walikuwa wananza kutaja jina lake kwa kusema:Mtukufu Rais Daniel Toroitich Arap Moi...
Emilio Mwai Kibaki alipokuwa anamuaga Daniel Toroitich Arap Moi na Emilio Mwai Kibaki akiwa amelala katika wafu.
Wakati wa urais wa Moi ,redio ya Kenya KBC walikuwa wananza kutaja jina lake kwa kusema:Mtukufu Rais Daniel Toroitich Arap Moi...