Wana JF naomba mchango wenu ili nielewe kuhusu harakati za kukabilina na wahujumu uchumi na reaction ya Mwalimu kuhusu vifi nyao.
Maswali ni haya:
1. Kama Sokoine na Kolimba walikuwa...
There was this robbery in Guangzhou , the robber shouted to everyone: "All don't move, money belongs to the state, life belongs to you".
Everyone in the bank laid down quietly.
This is called...
Wakati jana Mh. Nchimbi akitoa tamko la serikali kuhusu bomu la Arusha wayahudi wengi katika mgahawa wa Omwiny Kibbur hapa mjini Bettelheim walisikika wakisema toa toa kwa maana waliona kama...
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa...
Greetings!
It has been a while since we have brought you something to make you dance.
- The following letter was written sometime in 2007 few weeks before Salva Rweyemamu was appointed the...
Kuna taarifa kuwa kuna watanzania wanatumiwa na vikundi vya itkadi kali ili kuondoa amani Tanzania.
Agenda ya vikundi hivyo vya Uarabuni ambavyo kimsingi vipo kwenye Orodha za Ugaidi duniani...
Habari wanajukwaa.
kwa muda mrefu sasa kumekuwa na sintofahamu kutoka mitandao ya simu hapa nchini ambapo mawasiliano ya watumiaji wa simu yamekuwa yakianikwa hadharani bila ridhaa yao..
kazi...
Maofisa wa Ubalozi wa U.A.E Wanalalamikia polisi kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya Kimataifa vya habari na Wananchi wa Tanzania kupitia Waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel Nchimbi kuwa raia wao...
Hi-tech CCTV can recognise faces from half a mile awayHighdefinition CCTV cameras that can identify and track faces from halfamile awayAndrew Rennison said new technology was being rolled out...
Napenda kuwashauri watu wa usalama na serikali kwa ujumla. Baada ya mlipuko wa Arusha ambao kimsingi ulikuwa unamlenga Barozi wa Papa nchini, lakini ikashindikana sasa kuna uwezekano mkubwa kundi...
Kuna taarifa kuwa kuna watu wanaotokea middle east (waarab) wako Tanzania wakifanya biashara lakini kazi yao kubwa ni kuhakikisha Tanzania inavurugika, wanataka Tanzania iwe nchi ya kiislam...
Katika tukio la ugaidi la mwaka 1998 ambapo kulitokea kitendo cha kulipuliwa kwa ubalozi wa Marekani Tanzania, magaidi walitumia watu wengi sana bila kujijua, Dereva aliyepeleka bomu alijua kabeba...
Wana JF nimetoa hoja hii kwa kuwa naamini kwamba kwenye huu mtandao watu wanatoa mawazo yao kwa uhuru zaidi na kwa uwazi, mimi kwa upande wangu naona kufungia redio za dini ni kuficha tatizo kwa...
Salaam alekum wana JF, tafadhali mnijuze kazi za usalama wa Taifa (T) na pia Mkurugenzi wake ni nani na je amefanikwa kwa kiasi gani yeye na timu yake katika kuzuia matukio mbalimbali ambayo...
Nimetembelea website ya CIA na ku'search Tanzania Government.
Nimeshangazwa na CIA kutomtambua JK na baadhi ya mawaziri wake kama ni madokta.
Badala yake inawatambua madokta watatu tuu tena wote...
mchakato wa katiba uliokuwa ukiendeshwa na tume ya katiba nchi nzima unategemewa kutoa suluhisho juu ya maoni mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa na wananchi mbalimbali ili kwamba yale yatakayoamliwa...
Almasi
Tanzania ni mzalishaji mkubwa wa almasi kwa miongo kadhaa kutoka machimbo ya Williamson, Mwadui ambako uchimbaji wa kibiashara ulianza 1925. Miamba 300 ya kimbalaiti ipo Tanzania na...
Mkuu wa chuo cha ualimu kinampanda wilayani Iramba mkoani Singida aliyevuliwa madaraka na Naibu Waziri wa Elimu anatisha kwa ufisadi japo amekuwa mkuu wa chuo tangu mwaka 2008 yaani ni miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.