Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
  • Closed
Katika soma soma zangu nimeona jinsi ujasusi wa kiteknolojia na kiuchumi ilivyoisaidia china kufika hapo ilipo. Lakini Nimekuwa najiuliza je serikali yetu ya Tanzani inao majasusi wa aina hii...
1 Reactions
100 Replies
26K Views
Ikiwa ni takribani mwezi mmoja tu tangu bomu lilipolipuka kwenye mkutano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Arusha, jana tukio kama hilo lilitokea jijini Dar es Salaam kwenye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu Wana JF Kwanza ni declare interest..mimi ni Private Detective nina degree ya criminology kutoka chuo kimoja huko Salt Lake nchini America.....nina takribani mwaka mmoja toka nimerudi nchini...
4 Reactions
59 Replies
6K Views
Na Josephat Isango HARAKATI za Jeshi la Polisi kuishinikiza CHADEMA kuwasilisha ushahidi unaolituhumu jeshi hilo kuhusika na mlipuko wa bomu mkoani Arusha hivi karibuni na kuua watu wanne...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Juzi kuna mdogo wangu alikuja na documentary flani ya jamaa anaitwa Jesse Ventura ambae ana documentary kadhaa kuhusu conspiracy theories eg. Global warming, Time travel etc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Naamini kila mtanzania hivi sasa ni shahidi wa matukio ambayo yamekuwa yakijitokeza nchini kwa kuwahusisha polisi. Pamoja na mfululizo wa polisi kuua watu kwenye mikutano ya...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
JE? UMESHAJIULIZA NI KWANINI SERIKALI HAIWAPI WANANCHI TAARIFA HIZI NA BADALAYAKE HUKAANAZO KIMYA BILA YA KUZITAO KWA WANANCHI WAKE? WATANZANIA ambao idadi yao inaweza kupita mamia...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Tangu nirudi hapa Tanzania nimeshuhudia magari mengi binafsi yakiwa na madirisha giza yaani tinted, nimejiuliza sababu za msingi ni nini nikakosa jibu. Kwa mwenye kuelewa atuelimishe nadhani wengi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu..nasumbuliwa na fikra za kutaka kumjua baba yangu mzazi maana tangu nimezaliwa sikuwahi kumuona wala kumsikia nimelelewa na wajomba na mama pekee..nafikiria kumweleza mama...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
"Mtanzania anaweza kutoka na biashara yake kuja kuuza Afrika Kusini, baada ya hapo anapanda ndege ya moja kwa moja kwenda China. Akiwa uwanja wa ndege anakutana na Mnigeria muuza madawa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya Pinda kuwapa ruhusa
0 Reactions
24 Replies
4K Views
nimekua nikijiuliza kwa nin askari karibia wote hawaruhusiwi kufuga ndevu,na hata stail ya unyoaji wao kichwani ni ya kipekee!!
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mwandishi wa Gazeti Uhuru anayejulikana kwa jina Selina Wilson alienda makumbusho ambako kulikuwa na ugeni mzito wa Mke wa Obama Michelle Obama kwa mwenyeji wake Salma Kikwete. Selina alikuwa na...
44 Reactions
126 Replies
14K Views
Rwanda ipo wapi jamani? 10. Uganda: 9. Kenya: Kenya is the second strongest Nation in East Africa Economically 8. Ghana: 7. Ethiopia: Ethiopia once was considered the strongest country in East...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
1. Kutekwa na kuteswa kwa ULIMBOKA, chadema walikuwa mstari wa mbele kuitaka serikali iunde tume huru ya kuchunguza tukio hili. Hii ni sifa, tabia na janja ya kikundi chochote cha kigaidi kwani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TUNAO USHAIDI WA PICHA KUWA CHAMA TAWALA KINA KIKUNDI CHA WAASI AMBAO WANAITWA GREEN GUARD,KAMA KWELI VYOMBO VYA ULINZI YAANI, POLISI,TIS NA JWTZ NI WAWAJIBIKAJI TUNAOMBA MTUPE MAELEKEZO YA KINA...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mankind has always had a semi-violent nature as its driving force. Over the years, people have obsessed over finding the best ways to dispense of adversaries as well as win conflicts amongst...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wadau wa jf Kama heading ilivyo kiuchunguzi changu kisicho rasmi kinaonyesha kama hivyo,vijana wengi walio chini ya umri wa 25 yrs wanatabia za kupenda kusema uongo sana japo sio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi karibuni TCRA imesisitiza kutokuwapa mawasiliano wanaotumia namba za Simu ambazo hazijasajiliwa tena kwa kutumia vitambulisho halali vya wateja. hii ina maanisha hakuna MTZ anayetumia Simu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kuna habari ya kushtua nimeipata karibuni. Inadaiwa kwamba vijana wa kitengo cha IT kinachosimamia Tigopesa wamekuwa wakiwaibia wateja wanaotumia huduma hiyo kwa kupunguza salio kidogo kidogo...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom