Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Interview Bisimwa The Political Leader of M23: ‘We are not afraid of SANDF and TZ mercenaries’Camarade Bertrand Bisimwa The political Leader of M23 Bisimwa: ‘We are not afraid of mercenaries’By...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Watu wengi wameandika kuhusiana aidha, umuhimu/ulazima wa CHADEMA kuimarisha BRIGEDIA NYEKUNDU au hatari ya kufanya hivyo. Waliozunguzia hatari wengi wao walijitia upofu waso kuwa nao wakati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
23/08/2013 JWTZ litatoa taarifa kuhusu kutoroka kwa Luteni Kanali Coelestine Seromba. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo, taarifa hizo zitatolewa Agosti 24. Imetolewa na...
0 Reactions
82 Replies
19K Views
  • Closed
Watanzania wenzagu, mabibi na mabwana asalaam alaikum, Bwana Mungu asifiwe. Paul Kagame na Yowel Museveni ni watutsi (Hamitics) wanaoamini kuwa wao ndio bora mbele za Mungu na wao ni super race...
7 Reactions
25 Replies
7K Views
Nimesema maneno hayo yaliyopo kwenye kichwa cha habari ya makala hii kutokana na namna ambavyo watu wengi walivyojitokeza kukosoa uteuzi wa Profesa Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangu sakata la ujenzi wa jengo refu la ghorofa 19 lililopo karibu na Ikulu yetu kuanza kuwa gumzo hapa nchini, binafsi nimejitafakarisha mambo mengi kichwani mwangu. kitu cha kwanza ni kwamba...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
Wengi tunafaham mabingwa wa upelelezi duniani. Wakiwemo Pakistan ,Israel, India na China (Asia). Pia U.K, FRANCE na GERMAN (EUROPE) U.S.A (AMERICA). Vipi kwetu barani Africa?
0 Reactions
24 Replies
23K Views
Wakuu tutafakari utabiri huu; “Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na ole wao wale watakoiona siku hiyo! Na ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mheshimiwa rais kufuatana na tangazo lako muhimu naomba nikutaarifu kuwa madiwani wako wawili katika baraza la madiwani la halmashauri ya bukoba ni wanyarwanda. Na kwa hili naomba nifunguke kabisa...
6 Reactions
54 Replies
8K Views
1. Do What you love, and do it often. If you don’t like something, change it. If you don’t like your job, quit. 2. If you don’t have enough time, stop watching tv. 3. If you are looking for the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Source: Amka na BBC (20/8/2012) monday ...anasema viongozi wa upinzani ndio wanaoongelea maswala ya vita dhidi ya wanyasa concern mgogoro. AMESEMA KATU TANZANIA HAITAPIGANA NA MALAWI. My...
5 Reactions
152 Replies
12K Views
Tangu jana nimekua nikiumiza Kichwa kwakua niliona BATA (Wanaofugwa) akimgomea mtoto mwenye umri kama wa miaka saba kutii amri ya kuingia ndani kwao. Yule mtoto akimchapa yule bata fimbo, yule...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Closed
Guys we have a lot of believes in this world but it costs nothing to realize the reality that only Science is the true messenger of God others are only imaginable things without truth in them...
3 Reactions
246 Replies
20K Views
  • Closed
Sunday, August 18, 2013 | 7:51 PM Mtandao wa News of Rwanda juzi umeandika makala yenye kichwa cha habari, ‘If President Kikwete is Tanzanian, then most Rwandans being expelled are...
0 Reactions
107 Replies
17K Views
Katika sakata la kuonekana kuwa suala la mabomu ya Arusha ndio kwanza linaaza, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amesema uchunguzi wa milipuko hiyo(Olasiti na Soweto) unaendelea na hakuna atakayebainika...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kwa kawaida kesi za ugaidi zinawahusu watu hatari zaidi wanaoendesha vikundi hatari zaidi vya kutekeleza na kufadhili UGAIDI. HAKUNA UBISHI KUWA HATA ASKARI WA MAREKANI AKISIKIA FLANI NI GAIDI...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni Mtanzania. Ni raia wa kawaida kabisa! Napenda kutoa Ushauri huu wa Jeshi la Polisi. 1. Nalishauri Jeshi la polisi liachane na ushaabiki wa vyama vya siasa. Liache kuingilia shughuli za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello Great Thinkers wa JF, Kwanza natanguliza samahani kwa yeyote nitakayemkwaza na title yangu pamoja na content ya thread yangu. Niseme tu kwamba hilo sio kusudi langu. Lakini wanajamvi naomba...
16 Reactions
106 Replies
12K Views
Mimi najiuliza hivi hawa askari wa vyeo vya chini wanaodaiwa kupokea amri au maagizo kutoka kwa wakubwa wao wa kazi na wao kutekekeza mfano,kuua au kujeruhi kwa risasi,kuua kwa kutumia bomu la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaishi katika dunia iliyojaa uhalifu. Uhalifu wa aina mbalimbali kuanzia wizi wa kutumia silaha, wizi wa maarifa yaani utapeli na hata wizi wa kutumia kemikali na teknolojia. Hali ya uhalifu...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…