Two competitors, Both are well prepared with equal chance, Is win/loose God's will ? I believe it is coz if He want you to win definetely you can't loose and this goes along with my second belief...
Umaru Dikko wakati huo akiwa waziri wa uchukuzi nchini Naijeria
Umaru Dikko alivyo sasa
Mkasa mzima huu hapa...........
Huyu alikuwa ni Waziri wa uchukuzi katika serikali ya Naijeria...
Kila siku ni TISS tu ina maana tanzania tuna idara moja tu ya usalama??? Hivi hawa wakizidiwa inteligensia nani anawa back up??
Kuna idara ngapi???
Hivi idara gani ina utaalamu wa mambo ya...
IN EAST AFRICA ESPECIALY KENYA,TANZANIA AND UGANDA, KUNA PUBLIC FIGURES AMBAZO NI VYEMA WANANCHI WA NCHI HIZI TATU WAWAFAHAMU......KATI YA WATU HAO JOSEPH KONY WA UGANDA NI VYEMA WOTE...
Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana...
Ivi kwa nini idadi kubwa ya wachawi ni ni wanawake wengi hususani wazee na siyo wanaume kuna uhusiano gani hapa na je? Kwa nini vichaa wengi ni wanaume kuliko wanawake hili ni duniani kote?
Habarini??
Nadhani wengi wetu mmekwisha sikia hii habari ya chumaulete hasa kanda hizi za pwani kama tanga na pwani
Hivi majuzi nilikwenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anakibanda cha Mpesa...
wana JF, katika utafiti wangu mdogo, nimeona kuwa kuna watu wanaopendwa sana nje ya familia zao na kuonekana wakarimu, watoa misaada ... mara nyingi hawako hivyo ndani ya familia zao. Japo ni...
JF ivi ni kwa nini idadi kubwa ya wachawi duniani hata hapa tanzania wanao kamatwa ni wanawake hususani wazee na ni vip? ididadi kubwa ya wtu wanaougua vichaa huwa ni wanaume?
Nionavyo mimi, watanzania wengi ni waoga wa utafutaji maisha. Wengi wanapenda maisha ya dezo...kukaa tu na kusubiri kufanyiwa michongo au maisha ya gwelele. Wanapenda vitu vikubwa na masifa ya...
Habari wana inteljensia.
Naomba kufahamu sababu ya
1. Kwa nini bullet proof inavaliwa kifuani tu na kuacha kichwa kikiwa vurnerable na risasi?
2. Kwa nini mtu anae shoot mara nyingi analenga...
By Kelsey D. Atherton | Jan 22, 2014
Modular Advanced Armed Robotic System (MAARS)
MAARS is a remote-controlled gunbot. It can be fitteed with machine guns and...
habari za leo wanaforum sasa katika hii THREAD tujaribu kumshauri Rais wetu MUH. JAKAYA M.KIKWETE, tuongelee yale ambayo hawezi kuyaona kwa sababu bunge liko hoi,
yanafanywa na watendaji...
Nimekua nikishangazwa mara nyingi rais wetu anapokuwa akihutubia mikutano ,semina,warsha nk huwa anakuwa na walinzi wawili hii nikwanini?wakati tunaamini nchi yetu ni ya amani ,,
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.
Binadamu anaouwezo wa...
EMAU ENGLISH MEDIUM CHATO GEITA.
Salama wana jf,tunaweza kuonekana wambeya lakini ni hali halisi ya maisha ya watumishi waalimu na wasio waalimu katika jumuiya ta EMAU.Kitu kizuri ni...
Ili twende pamoja basi ningeshauri uwe na ramani ya dunia pembeni yako huku uki-refresh darasa lako la historia na jiografia hata kama ni ile ambayo wengi wetu tunayo; yaani ya O-Level
Nitangulie...
kazi ya ujasusi haitofautiani sana na kazi za kiroho, ndiyo maana jasusi anapokosa uzalendo anatakiwa kuacha kazi bila kujali ana uwezo kiasi gani katika tasnia hiyo.
kama ilivyo kazi ya...
wadau mi ni kijna niliyopo chuo now na nina ndoto za kuwa SOLDIER wa nchi hii tatizo linalo nitatiza ni kuwa navaa miwani coz sioni mbali zaidi ya mita 50 hivi je hili tatizo litanyima nafsi ya...
Kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH370,je tuamini uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine(aliens)au kama wataalam wanavyowaita E.B
.Es, na vifaa vyao UFOs na namna yao ya kuweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.