Msaada wakuu. Mdogo wangu ameanza kupata mvi (zimechachamaa zaidi kidevuni) wakati hata miaka 30 hajafikisha. Mimi ninamzidi umri ila sina hata punje ya mvi.
Inawezekana hii ni upungufu/ukosefu...
naona kama kuna utofauti hapa..labda mkuu wetu mzizimkavu atudadavulie apo...
maana mtu anakua hana hamu tuseme na mkewe ya kugegeda kikamilifu lakini mtu huyo huyo akitoka nje anapga gem ya...
Binti yangu ananiambia hua anakua na hamu sana na blid na inapokua inachelewa anakosa hadi raha, akianza tu analazimika kunusa pedi alotumia hadi nusu saa muda mwingine.
Jaman ndugu zangu, huu ni...
Habari wana jf, mimi ni kijana umri kati ya 22-28, sijaoa ila nina mchumba, nina kazi ambayo inanifanya nakua busy kila siku. kuna hili tatizo sijui nini kimenitokea ila najiona nina-stress sana...
Mpenzi wangu kwa sasa amekuwa mvivu sana katika suala la ndoa pia huchoka mapema sana na kuwa hoi baada ya tendo. nmejaribu kuomba ushauri kutoka kwa wataalamu mbalimbali baadhi wakasema kuwa...
Habari jion jaman? Matumaini yangu ni wazima!
Naomba mnisaidie Kujua ile siku/tar ya kushika mimba kwa mke wangu!
kwa kabisa ana mzunguko wa siku 28
bleed inaanza tar 14-tar 18 humalizia...
Siku hizi watu wengi wanapenda kuonekana vijana, kuanzia kwa watu mashuhuri hadi kwa watu wasio mashuhuri, hakuna mtu
anayetaka kuzeeka. Tafiti zinaonesha kuwa kuna baadhi ya matendo ambayo...
Jamani nisaidieni, jana usiku nilienda haja kubwa cha kushangaza haja ilikua ngumu kutoka nilipojitahidi kuikamua nilihisi maumivu makali then nikaona vidamu vinadondoka nikashindwa kuendelea na...
Wana jf naomba kuuliza kama kuna ukweli katika hili ama ni myth tu za watu. niliwahi kusikia kwa watu mtaani kuwa watoto wa kiume tu, wanaolishwa uji uliochanganywa na viinilishe vingine kama...
Napendelea kufanya mazoezi ya kukimbia kila jion..lakin nimekaa kwa mda wa miezi 2 bila kukimbia nilipo anza tena nilikimbia mita chache2..nikasikia maumivu makal sana kwenye vifundo vya...
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa ushauri wenu ambao unasaidia wengi humu!
Nina mwanangu wa kiume ambaye ana miezi 9 sasa ameanza kutembea,
tatizo la huyu mtoto ni kuwa hataki chakula cha...
Wazee wangu naombeni msaada, leo kidushelele changu kilikuwa kinawasha sana na baada ya kukojoa ikatoka damu kidogo sana, je hili ni tatizo gani,nifanyeje naomba msaada.
Je hii inaweza kuwa na...
Jamani mimi nimeoa miezi minne iliyopita, nimejitahidi kumpa mke wangu mimba ila bado haijakubali. Najihisi ninatatizo moja ambalo ni mbegu za kiume kutotoka kwa speed na kuruka kama nilivyokua...
Wandugu,
Ninasumbuliwa sana na mafua mepesi ambayo karibu kila siku lazima niwe nayo.Kwa kifupi yamenianza miaka 15 iliyopita.Uzio nimepima na karibu kila aina ya dawa za mafua nimeshatumia ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.