DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,820
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa ushauri wenu ambao unasaidia wengi humu!
Nina mwanangu wa kiume ambaye ana miezi 9 sasa ameanza kutembea,
tatizo la huyu mtoto ni kuwa hataki chakula cha aina yoyote ile!iwe uji,ugali,ndizi,viazi,maziwa,juisi,
yani kidogo ukimpa chungwa ndo atakula angalau kipande tu + kunyonya basi.
Nimehangaika hospitali lakini tatizo hili halijakoma na mda mwingine analia kwelikweli mpaka nachanganyikiwa hospitali wamenipa MULTI-VITAMIN SYRUP yenye VitaminA, D3, B1, B2, B6 ,B12 C, Niacinamide, D-Panthenol
Nimempa lakini hamna kitu,naomba msaada wenu jamani!njia gani ya ziada naweza kusaidia huyu mtoto
MziziMkavu na madaktari wenzio wote humu
Nina mwanangu wa kiume ambaye ana miezi 9 sasa ameanza kutembea,
tatizo la huyu mtoto ni kuwa hataki chakula cha aina yoyote ile!iwe uji,ugali,ndizi,viazi,maziwa,juisi,
yani kidogo ukimpa chungwa ndo atakula angalau kipande tu + kunyonya basi.
Nimehangaika hospitali lakini tatizo hili halijakoma na mda mwingine analia kwelikweli mpaka nachanganyikiwa hospitali wamenipa MULTI-VITAMIN SYRUP yenye VitaminA, D3, B1, B2, B6 ,B12 C, Niacinamide, D-Panthenol
Nimempa lakini hamna kitu,naomba msaada wenu jamani!njia gani ya ziada naweza kusaidia huyu mtoto
MziziMkavu na madaktari wenzio wote humu
Last edited by a moderator: