Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa Umri: 25 Uzito...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Zoezi rahisi sana unalifanya ukiwa hata sebuleni kwako.
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Fangasi Kwa Mwanaume: Fangasi kwenye uume (fungal infections in men) ni maambukizi yanayosababishwa na fangasi wa aina mbalimbali, hasa Candida albicans. Maambukizi haya huathiri ngozi ya uume na...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina kilo 85 Urefu 6.6 ft Kwa siku nakula saa Saba mchana msosi heavy Wataalamu wa afya hii ni sawa au natafuta matatizo??
13 Reactions
100 Replies
4K Views
Kiukweli napata changamoto kubwa sana pia nakosa kujihamini kwenye tendo sababu ya dhakari[uume] wangu umepinda kuelekea chini. Nakuwa mnyonge kwenye tendo maana baadhi ya mikao siwezi kupaform...
2 Reactions
7 Replies
627 Views
Mdogo wangu anasumbuliwa na tinnitus kwa muda sasa karibu miaka 8, tumejaribu kila njia lakini anasem bado. Kwa anefahamu matibbu ya tinnitus msaada Tumejaribu kununua hearing aid lakini hkuna...
2 Reactions
10 Replies
562 Views
Wasalaam madaktari na wahenga... Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili. Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri. Kwanza ameokoka na katika uchumba...
19 Reactions
206 Replies
10K Views
Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi
2 Reactions
54 Replies
9K Views
Kijana mtanzania miaka 27 nimekuwa nikitazama video za uchi na baadae kujichua( mastubation) kwa Miaka kumi sasa. Nimejitahidi sana kuacha lakini najikuta narudi tena. Naombeni ushauri jinsi ya...
12 Reactions
100 Replies
4K Views
Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S THERE IS ONLY ONE DISEASE MUCUS....... WHERE MUCUS IS THE HUMMAN BODY? According to Dr. Sebi, there exist only one disease which is mucus. He contended...
16 Reactions
214 Replies
47K Views
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni...
1 Reactions
10 Replies
650 Views
Wakuu habari za Asubuhi, Natumaini wote mko wazima! Naomba mtu anefahamu Dawa au Suluhisho la tiba za Nyama za Puani kwasababu mwanzoni niliambiwa ni Surgery na nilifanya mwaka jana mwezi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bawasili ya ndani tba yake wakuu,
0 Reactions
2 Replies
264 Views
Kuzimia kunaweza kutisha, hasa baada ya kipindi cha raha ama msisimko mkali. Mara kadhaa kumekuwepo watu waliotaka kufahamu chanzo cha kuzimia, ama kupata kizunguzungu wakati wa tendo la ndoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nina changamoto inanisumbua. Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa. Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali. Miwasho haipo ila ni...
13 Reactions
61 Replies
3K Views
Habari ndg zangu samahan naomba ushauri nilikuwa kazin shift ya usiku nimeamka asubui nimeona uvimbe kwenye shingo yangu itakuwa ni nn maana leo siku 4 uvimbe unakuja na kupotea baada ya dk...
0 Reactions
5 Replies
307 Views
VICHOMI ni lugha ilio zoeleka kwa wanao sema kua kuna vitu vinachoma juu ya tumbo au mbavu, maumivu makali na ya mda mfupi kama mwiba umechoma eneo kilo. LAKINI KIUHALISIA TUKISEMA TUNAVICHOMI...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi ni stage gani ya ugonjwa unataka kuiwahi ndio unakua na asilimia nyingi za kupona? The Tipping Point: How to Halt Diabetes Before It's Too Late Introduction: Understanding Reversal vs. a...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/kama-bado-upo-kwenye-ujana-jitahidi-sana-kufanya-mazoezi.2359916/
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Back
Top Bottom