International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

IDF inasema iliharibu kituo cha anga cha Iran kilichofanya kazi katika 'kushambulia setilaiti' IDF inasema ilishambulia na kuharibu kituo cha anga cha Iran huko Tehran ambacho kilitumiwa na...
2 Reactions
8 Replies
282 Views
Memorial actions for the 168 schoolgirls – the “Angels of Minab” killed by an American missile in Iran – are taking place around the world Activists, civil society groups and children are placing...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
🇺🇸 Rais Donald Trump kuhusu Iran: "Naam, tutakuwa katika hali nzuri sana. Unaona kinachoendelea? Wako karibu mwisho wa mstari. Haimaanishi kwamba tutamaliza mara moja, lakini wako. Hawana Jeshi...
7 Reactions
204 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi alisaini amri yenye nguvu ya sheria siku ya Jumamosi kuanzisha mahakama maalum itakayoshughulikia makosa ya kiuchumi na kifedha kama vile...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Kipindi Irani inaongozwa na vibaraka wa Marekani ndio ilikuwa hivyo hapo Sasa ndio Marekani ilikuwa inajisikia raha maana walikuwa na nafasi ya kufanya biashara zao za Pombe Madawa ya kulevya...
0 Reactions
1 Replies
200 Views
Ayatollah Khamenei Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi Hezbollah walipukutika Hamasi wakapukutika Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa Target yaweza kuwa khamenei...
23 Reactions
86 Replies
4K Views
Suala Iran linaonekana limeanza kuwa gumu kwa Marekani, Trump leo ametema Nyongo na kuzishutumu baadhi ya nchi kutokuwa na shauku za kuisaidia Marekani kutatua changamoto ya mfereji wa Hormuz...
3 Reactions
16 Replies
529 Views
Kwa sababu shambulio moja tu la droni kwenye kitu muhimu kama kituo cha kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari (desalination plant) au bandari ya biashara linaweza kuleta madhara makubwa kuliko...
1 Reactions
1 Replies
200 Views
Iran imewakamata watu 500 wanaotuhumiwa kushirikiana na maadui kwa kutoa taarifa nyeti, mkuu wa polisi wa nchi hiyo Ahmadreza Radan alisema Jumapili, wakati ndege za kivita za Israel na Marekani...
3 Reactions
7 Replies
308 Views
Mahakama nchini Azerbaijan Jumatatu imemhukumu raia wa Ufaransa, Martin Ryan, kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia ya ujasusi kwa niaba ya Paris, tuhuma ambazo alikiri kwa...
1 Reactions
2 Replies
189 Views
Baada ya kuponea kwenye tundu la sindano kuuwawa hapo Feb 28,2026 Gaidi Ayatollah Majitaka Khamenei alijeruhiwa vibaya na Hali yake huko alikojificha Inasemekana ni mbaya sana. Taarifa kutoka...
1 Reactions
5 Replies
233 Views
Serikali ya Urusi imesema hakutakuwa na mpango wowote wa kuwarudisha nyumbani Wakenya wanaodaiwa kuhudumu katika jeshi la Urusi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Musalia Mudavadi na Waziri mwenzake...
1 Reactions
0 Replies
184 Views
Jeshi la Marekani limethibitisha Ndege yake ya Kijeshi kuanguka nchini Iraq. Ndege hiyo ya kijeshi ya KC-135 ilianguka baada ya ajali kati ya Ndege mbili. KC-135 ni Ndege iliyotengenezwa na...
2 Reactions
4 Replies
363 Views
Irani ilikuwa imejipanga. Ilichora chini maghorofa na viwanda kama vya ukweli. Ikaweka na matoy kila sehemu. Marekani imeshambulia michoro na matoy. Ikamshambulia Khayatollah fake toy la kichina...
5 Reactions
11 Replies
361 Views
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei huenda yuko katika hali ya kukosa fahamu, Marekani yasema ameharibika maumbile. Kiongozi mpya wa Irani aliyeteuliwa, Mojtaba Khamenei, yuko katika hali ya...
1 Reactions
20 Replies
623 Views
Kumeanza kuchangamka Umati mkubwa wa watu umefurika katika mitaa ya Tel Aviv, wakielekea kwenye majengo ya serikali katika maandamano makubwa yanayotikisa utawala. Kulingana na BRICS News, hali...
4 Reactions
4 Replies
343 Views
Wakati uchaguzi wa uraisi unaendelea jamhuri ya kongo mtandao wa NetBlocks umetangaza kukatika kwa intaneti karibu nchi nzima. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa NetBlocks, Alp Toker, kiwango cha...
0 Reactions
6 Replies
257 Views
Wakuu, Rais wa South Korea, Lee Jae-myung, amesema serikali itaongeza juhudi za kuwatambua wanaharakati zaidi walioshiriki katika harakati za demokrasia za miaka ya 1960 na kuhakikisha wanapata...
0 Reactions
2 Replies
198 Views
Vikosi vya Marekani na Korea Kusini vikiwa katika matayarisho ya mazoezi ya pamoja ya kuvuka mto katika wilaya ya YeonCheon. Picha na Reuters. Siku ya Jumamosi ilopita Korea Kaskazini ilitupa...
2 Reactions
1 Replies
370 Views
Back
Top Bottom