Mkurugenzi Mtendaji wa Apple, Tim Cook (65) amejiuzulu nafasi hiyo.
Cook amehudumu kama CEO tangu mwaka 2011 aliporithi nafasi hiyo kutoka kwa Steve Jobs.ll
Jitihada za Marekani na Israeli dhidi ya Iran "hazijaisha bado," anasema Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika hotuba yake pamoja na Rais wa Argentina Javier Milei.
"Wakati wowote unaweza...
Waziri Mkuu wa Benjamin Netanyahu na Rais wa Argentina Javier Milei wamezindua “Makubaliano ya Isaac” mjini Jerusalem, yakilenga kuweka mfumo wa kuimarisha uhusiano kati ya Israel na nchi za...
Kongo imeipiku Ethiopia na kuwa nchi ya tano kwa uchumi mkubwa barani Afrika kusini mwa jangwa la Sahara ambapo Afrika Kusini bado ndio inayoongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika...
Siku ya Ijumaa, Aprili 17, 2026, Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araghchi, alitangaza kupitia mtandao wa X kuwa Mlango wa Hormuz uko "wazi kabisa" kwa meli zote za kibiashara. Alidai uamuzi huo...
Kondo wengi tunajiita wana Israel na tunaliona kua taifa teule la umuungu na tuna peperusha bendera za Israel katika majumba yetu kwenye magari na maofisini kwetu, sasa inakua je ku dhalilisha na...
Mamia ya Meli za Mafuta Zinazohusishwa na Iran Bado Zinafanya Kazi Licha ya Vikwazo vya Marekani
Kampuni ya kijasusi ya baharini ya Marekani TankerTrackers inaripoti kwamba idadi kadhaa ya meli...
Baba amewaua kwa risasi watoto wake 7 pamoja na mtoto mmoja asiye wa familia yake, wenye umri kati ya mwaka 1 hadi miaka 14, katika Jimbo la Louisiana nchini Marekani, chanzo kikielezwa kuwa ni...
Headline
Nurses Announce Three-Day Strike Set for 20–22 April Over Pay and Working Conditions
News Report (International Audience)
Nurses have announced a three-day nationwide strike scheduled...
Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano wa usalama wa faragha leo na Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi wa Pamoja, Jenerali Dan Caine na Katibu wa Vita, Pete Hegseth.
Chanzo cha habari cha...
Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa...
Irani ipo kwenye migogoro kwa Viongozi wao wakuu na kusababisha kutoelewana kwa Viongozi
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amekuwa akitaka utulivu na kutaka makubaliano yafanyike hataki vita kwa...
Wakati wa mazoezi ya sherehe ya kuwasha mwenge wa Siku ya Uhuru, Rais wa Argentina akiimba kwenye onyesho la zoezi hilo.
Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwashwa na Rais huyo wa Argentina siku ya...
Meli zinazotaka kupita Hormuz masharti ni ziwe kutoka nchi rafiki ambazo hazikuiunga mkono Marekani au Israel dhidi ya Iran.
Na ni lazima zilipe ada kwa sarafu ya Kichina (Yuan) au crypto kabla...
Ziara ya angani kutumia Drone huko Bint Jbeil -Lebanon kusini. ngome ya Hezbollah huko Lebanon, inaonyesha mji huo baada ya IDF kufanya Ukarabati mdogo huko.
Kifaru cha IDF kinaweza kuonekana...
Kwa muda mrefu Papa mkuu wa kabisa katoliki duniani "Pope Leo" ambaye ni Mmarekani amekuwa mstari mbele kukemea mauaji na vita mbalimbali zinaondelea duniani mfano Gaza alikemea Hamas, mauaji...