International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kwa kutumia teknolojia aliyojifunza nchini China katika shamba la maskani yake, Augustine Phiri ameweza kuongeza mavuno ya mahindi katika shamba la mfano nchini Malawi, kutoka tani 2.1 kwa ekari...
1 Reactions
1 Replies
503 Views
Kutokana na kuimarishwa kwa uhusiano kati ya China na Afrika, katika miaka ya karibuni, uwekezaji wa China umeendelea kuongezeka barani Afrika. Hivi karibuni serikali ya China ilitoa taarifa...
3 Reactions
0 Replies
413 Views
Watu zaidi ya 100 waliokuwa wamejihifadhi kwenye shule ya Tabin pamoja na wale waliokuwa wamejikushanya kwa ajili ya sala ya Alfajiri kuamkia leo wamekufa huku maiti zao zikitapakaa vipande...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote. IDF na mossad wanatisha Ndugu zangu. Huko Kusini mwa Lebanon ambalo ndiyo makao makuu ya Hezbollah hakukaliki Wala hakulaliki kabisa huku hofu kubwa ikitanda. Wameamua...
5 Reactions
7 Replies
848 Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: In first address since killing of leader Hassan Nasrallah, Hezbollah deputy chief Naim Qassem says group is ready for any Israeli...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Hii ndiyo sala maalumu kabisa ya kimapokeo inayomsihi na kumuomba Adonai awalinde na kuwapa ushindi Wana Israel wanaokwenda vitani kupambana na magaidi ya Hezbollah huko...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Huku wavaa makobaz uswahilini wanatokwa mishipa kwenye makomwe kwa hasira walizo nazo kwa Israel, sasa Saudi imesema itaendelea freshi na Israel.... ==== Saudi Arabia's ambassador to the UK...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Naona mijadala inayoendela imejaa mihemko ya udini. Yule mwenye ushahidi Vita vile pale mashariki ya kati ni vya "dini" embu atupe. Na atuambie ni dini gani hizo Ushahidi wa direct sio wa kuunga...
11 Reactions
43 Replies
1K Views
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel. Mawingu mazito ya moshi...
13 Reactions
138 Replies
8K Views
Shirika La Umoja Wa Mataifa Linalohusika Na Wakimbizi, UNRWA, lathibitisha kiongozi wa Hamas, Lebanon alikuwa mfanyakazi wao 🤔 ..... The United Nations agency for Palestinian refugees confirms...
1 Reactions
8 Replies
767 Views
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah. Kiukweli sidhani kama...
74 Reactions
254 Replies
11K Views
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na...
25 Reactions
37 Replies
2K Views
Hezbolla, magaidi wa waislamu wakanusha kwamba kwa sasa hawajamchagua kiongozi yeyote.... Kwa namna viongozi wao wanaliwa, kila mmoja lazima aogope kutajwa yeye.............Maana ukitajwa tu...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Isarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border [Menahem...
16 Reactions
102 Replies
9K Views
News alert Netanyau awaahidi watu wa iran kuwa nchi yao itakuwa huru hivi karibuni , asema wataishi nao kwa amani kama ilivyokuwa zamani Waziri Mkuu huyo amewaambia watu wa Iran wasiruhusu...
14 Reactions
29 Replies
4K Views
The Israeli cyber army on Saturday hacked into the control tower of Beirut Airport, the Rafic Hariri International Airport. The IDF breached the communication network of the control tower and...
0 Reactions
1 Replies
513 Views
Muda mwingine huwa tukiwa critical na mambo ya hawa jamaa wengine wanadhani ni kwa sababu tuna chuki binafsi ya Dini fulani. HEZBOLLAH ni KIBOKO YA WACHAWI aliechangamka. Hawa jamaa ni matapeli...
9 Reactions
77 Replies
4K Views
Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Lebanon Ni Nchi tajiri na yenye mchanganyiko wa tamaduni, dini, na migogoro. Lebanon ilikuwa nyumbani kwa Wanafikra na walikuwa maarufu kwa biashara na utamaduni. Miji kama Tiro na Sidon ilikua na...
1 Reactions
2 Replies
658 Views
Magaidi ya waislamu, Hezbollah inasababisha shida kubwa sana kwa wananchi wa Lebanon, na mbaya zaidi haya magaidi sio raia wa nchi hiyo, ni majitu yametokea huko mbali yamejawa na mzuka wa...
3 Reactions
13 Replies
854 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…