International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Donald Trump (78) ndiye rais mteule wa Marekani baada ya kuibuka mshindi kwenye uchaguzi ulifanyika Jumanne ya Novemba 5 mwaka huu nchini humo Kabla ya ushindi wake mwamba huyo Trump alikuwa...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Haya ndiyo yanayomsibu Natenyahu huko Israel. Zipo gharama za kulipa kwa kutokuwasikiliza wananchi ambapo madaraka ni dhamana tu. Wenye nchi wananchi. Mara zote wasio busara hukumbuka...
11 Reactions
95 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Haiishi Hadi iishe mayahudi wamechefukwa na wameamua kufanya kweli Muda mfupi uliopita wameshambulia na kuteketeza Msafara wa magari ya kijeshi uliobeba silaha kuelekea...
10 Reactions
54 Replies
4K Views
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa siku ya Jumatatu imedokeza kuwa mitandao ya kihalifu kote Kusini Mashariki mwa Asia inategemea zaidi app ya ujumbe wa Telegram kwa ajili ya kutekeleza...
1 Reactions
2 Replies
835 Views
Channel 12 waachia habari kuhusiana na ushujaa wa wapiganaji watatu wa hizbullah dhidi ya kikosi cha idf huko AItaroun. Kituo cha radio cha IDF kimetoa habari siku ya jana ijumaa kuonyesha...
1 Reactions
2 Replies
489 Views
Sera ya MAREKANI ni ileile. 1) Ulinzi wa Israel 2) Ulinzi wa western Europe 3) NATO 4) Middle East 5) Far East Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera. Wanatofautiana...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Zenón Avomo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) akichukua nafasi ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya ukiukaji wa maadili...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Rais anachaguliwa kwenye kura na kwa hali ilivyo computer zinazotumika kupiha kura zimeonyesha kuwa na hirilafu inayompa kura nyingi zaidi Kamala, uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Sijawahi kuona Rais wa USA duni kama huyu. Mfumo wa USA, Biden angemaliza kipindi chake vizuri tu. Afya ya Biden haina tatizo lolote Ila toka yule Obama abahatike kuwa Rais basi anajiona ndio...
1 Reactions
9 Replies
787 Views
Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka. Ndiyo hivyo tena. Majuto ni mjukuu.
14 Reactions
144 Replies
7K Views
aljazeeraenglish The fact that the cumulative weight of bombs dropped on #Gaza exceeds that of those dropped during World War II is “extraordinary”, Will Hutton, political economist and...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa. Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa. Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Katika mahojiano yake ya kwanza tangu alipate ushindi wake, rais mteule Donald Trump alisema "hakuna bei" kwa mipango yake ya kufukuzwa nchini. Akizungumza na NBC News jana, alisema: Kipaumbele...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Mdahalo huu mkubwa sana na Unaosubiriwa na Watu wenye Akili Kubwa (tulio na Akili zilizotukuka) utaanza Saa 10 Kamili Alfajiri (Kesho Jumatano) na kumalizika Saa 11 na Nusu. Haya mtaarifu na...
7 Reactions
92 Replies
5K Views
Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Idadi kamili ya kura kwa wgombea wa Democrat, kulingana na Wikipedia ni kama ifuatavyo: 2008: Obama alipata kura milioni 69 2012: Obama alipata kura milioni 65 2016: Hillary alipata kura milioni...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Live Updates ya majibu ya kura kati ya Trump na Kamala Rasmi Fox News yatangaza kuwa Donald Trump ameshinda Urais wa Marekani dhidi ya Kamala Harris Kulingana na kituo cha habari NBC, Donald...
9 Reactions
778 Replies
35K Views
Wakuu, Serikali ya Zimbabwe imetangaza kwamba Admins wa makundi ya WhatsApp yanayofanya kazi ndani ya mipaka ya nchi hiyo sasa wanatakiwa kusajili na kupata leseni kutoka kwa Mamlaka ya Udhibiti...
3 Reactions
5 Replies
563 Views
Mikwala Miiiiiiiiiingi kama Russia. Nakumbuka zamani mtu anatishia kupigana huku akivua shati na kutema mate chini halafu harushi hata ngumi moja. Samaleko ndugu zangu wavaa kobasi na suruali za...
16 Reactions
59 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea . Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono? Kwa Nini...
16 Reactions
85 Replies
4K Views
Back
Top Bottom